Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,886
Eti wandugu, nchi yetu ndiyo haina kabisa mafuta au hatujatafuta kwa bidii. Tz ni kubwa kuliko Uganda, Kenya, Rwanda na Burundi ukiziunganisha. Kenya na Uganda wamepata mafuta.
Sasa maana yake Tz iliyokubwa si kunakuwa na uwezekano mkubwa zaidi wa kupata mafuta. Maana tuko eneo moja, na mafuta mengi nchi hizo yamepatikana kwenye bonde la Ufa, bonde ambalo Tz limepita kwa matawi mawili kabisa.
Hivi tumekosa kabisa mafuta?
Kuna pilika zozote za utafiti wa mafuta zinaendelea?
Sasa maana yake Tz iliyokubwa si kunakuwa na uwezekano mkubwa zaidi wa kupata mafuta. Maana tuko eneo moja, na mafuta mengi nchi hizo yamepatikana kwenye bonde la Ufa, bonde ambalo Tz limepita kwa matawi mawili kabisa.
Hivi tumekosa kabisa mafuta?
Kuna pilika zozote za utafiti wa mafuta zinaendelea?