takukuru wanaweza kupeleka mtu mahakamani ila kwa kutumia wanasheria wao waliopata kibali cha dpp, vilevile kibali cha dpp kwao kuendesha kesi ni lazima. hivyo ni kama wametumwa tu na dpp.Nimeona kesi ya IPTL ( Sethi na Rugemalila) inasimamiwa na PCCB but kwa uelewa wangu. PCCB wanafanya uchunguzi then wanapeleka jalada kwa DPP kwa ajili ya mashtaka je huu utaratibu umebadilika?
unashitaki bila kibali cha dpp, sheria gani inakuruhusu?Hata wewe unaweza kushtaki , ilmradi uwe na ushahidi wakutosha