ASAP Barrro
Member
- Dec 22, 2017
- 12
- 11
Huna kazi ya kufanya
Nasema kwa sababu moja tu ya msingi ambayo hata mm team mond inataka kunichanganya.
Kwa huu mwaka mond kajitahid sana kutoa ngoma nyingi nahisi baada ya aslay yeye ndo anafata kwa kutoa nyimbo nyingi lakin zote uhai wake umekuwa mdaogo sana na zikizima zinazima kweli.
Cha kushangaza zaidi jamaa amekuwa akitrend sana kwenye mambo ambayo hayahusiani kabisa na mziki mm nayaita mambo ya kipuuzi maana utamuona anajirekod yupo fargha na mpenzi wake anapost ndo utaona watu wanamuongelea karibu week nzima kuhusu izo mambo. Lakini akitoa wimbo watu hata hawashtuki kabisa. Ndo swal langu sasa linapotekea je tuseme kuwa mond now siyo mwanamziki bali socialite maana anapata attention kubwa kwny mishe za mitandaoni kuliko kazi yake.
Ukishirikisha ubongo na akili utapata nini mantiki ya swali lng...Kama sio fan wa dai umeyajuaje hayo mambo yake mitandaoni?
Mm sina wivu na diamond coz mm ni fan wake kindaki ndakiNimependa
Maana wivu.com nao unasumbuaga watu
Asante kwa kumuelekeza vzuri.Habari
"Numbisa"
Huyu kijana ni mshabiki kindaki ndaki wa Diamond fuatilia post yoyote ya kumponda au kumsifia moni lazima akamtetee and he knows a lot about Diamond..
Leo kataka tu kujua maana hata mm mwaka huu Diamond hajanifurahisha kwa nyimbo zake labda Corabo alizo shirikishwa.
D ajichunguze upya kunasehem anafeli Though am Die hard fan of Diamond Platinumz and WCB at all
KumbeDiamond hajawahi kuwa mwanamuziki, yule ni msanii tu na ndiyo maana nyimbo zake kama za wasanii wengine wa bongo fleva huwa hazidumu kwa sababu si muziki wa kweli.....ile ni Karaoke.
Ukiwa nayo ww inatoshaHuna kazi ya kufanya
Maisha anaish ya kipuuz kbsNje ya Muziki ana maisha yake mengine ambayo kuna mashabiki wake wanayapenda, kwahiyo wewe kama unapenda muziki wake focus uko mengine waachie wanaoyapenda.
Mond si kama kingwendu sema kingwendu msomi..
Mkuu upo nchi gani? Kuna utofauti wa masaa mangapi kati ya huku Bongosalama na huko uliko?Nasema kwa sababu moja tu ya msingi ambayo hata mm team mond inataka kunichanganya.
Kwa huu mwaka mond kajitahid sana kutoa ngoma nyingi nahisi baada ya aslay yeye ndo anafata kwa kutoa nyimbo nyingi lakin zote uhai wake umekuwa mdaogo sana na zikizima zinazima kweli.
Cha kushangaza zaidi jamaa amekuwa akitrend sana kwenye mambo ambayo hayahusiani kabisa na mziki mm nayaita mambo ya kipuuzi maana utamuona anajirekod yupo fargha na mpenzi wake anapost ndo utaona watu wanamuongelea karibu week nzima kuhusu izo mambo. Lakini akitoa wimbo watu hata hawashtuki kabisa. Ndo swal langu sasa linapotekea je tuseme kuwa mond now siyo mwanamziki bali socialite maana anapata attention kubwa kwny mishe za mitandaoni kuliko kazi yake.
Nipe calculator nitafute utofaut wake .Mkuu upo nchi gani? Kuna utofauti wa masaa mangapi kati ya huku Bongosalama na huko uliko?
OkNonsense!
Ulitaka aishi kama yakoMaisha anaish ya kipuuz kbs
Roho mbaya zitawaua wabongoNasema kwa sababu moja tu ya msingi ambayo hata mm team mond inataka kunichanganya.
Kwa huu mwaka mond kajitahid sana kutoa ngoma nyingi nahisi baada ya aslay yeye ndo anafata kwa kutoa nyimbo nyingi lakin zote uhai wake umekuwa mdaogo sana na zikizima zinazima kweli.
Cha kushangaza zaidi jamaa amekuwa akitrend sana kwenye mambo ambayo hayahusiani kabisa na mziki mm nayaita mambo ya kipuuzi maana utamuona anajirekod yupo fargha na mpenzi wake anapost ndo utaona watu wanamuongelea karibu week nzima kuhusu izo mambo. Lakini akitoa wimbo watu hata hawashtuki kabisa. Ndo swal langu sasa linapotekea je tuseme kuwa mond now siyo mwanamziki bali socialite maana anapata attention kubwa kwny mishe za mitandaoni kuliko kazi yake.
MbunjuMe niliwahi kusema mda mrefu, Dai hajui kuandika mzk anaoteaga tu, miziki yake ya sasa labda wale mondikindakindaki na promo za bodaboda. Kati ya miziki yote aliyotoa karibuni, hakuna wimbo wa kumfunika Asley.
Jamaa anajitoa tu ufahamu msamehe bureeRoho mbaya zitawaua wabongo
Ina maana hujayaona haya Kwa mwaka 2017
1. Mkataba Wa kinywaji cha Belaire
2. Mkataba na Diamond karanga
3. Mkataba na Flying Dubai
Sijazungumzia kazi alizofanya mwaka huu na Tiwa Savage, Morgan Heritage na Rick rose.
Kama kweli huoni kama hayo ni mafanikio makubwa mno kwa mtanzania mwenzako nakuhakikishia utakuwa mchawi uzeeni mwako
ww team kibamia mbona povu?Nasema kwa sababu moja tu ya msingi ambayo hata mm team mond inataka kunichanganya.
Kwa huu mwaka mond kajitahid sana kutoa ngoma nyingi nahisi baada ya aslay yeye ndo anafata kwa kutoa nyimbo nyingi lakin zote uhai wake umekuwa mdaogo sana na zikizima zinazima kweli.
Cha kushangaza zaidi jamaa amekuwa akitrend sana kwenye mambo ambayo hayahusiani kabisa na mziki mm nayaita mambo ya kipuuzi maana utamuona anajirekod yupo fargha na mpenzi wake anapost ndo utaona watu wanamuongelea karibu week nzima kuhusu izo mambo. Lakini akitoa wimbo watu hata hawashtuki kabisa. Ndo swal langu sasa linapotekea je tuseme kuwa mond now siyo mwanamziki bali socialite maana anapata attention kubwa kwny mishe za mitandaoni kuliko kazi yake.