Hivi siku hizi Diamond ni mwanamuziki au socialite?

Nasema kwa sababu moja tu ya msingi ambayo hata mm team mond inataka kunichanganya.

Kwa huu mwaka mond kajitahid sana kutoa ngoma nyingi nahisi baada ya aslay yeye ndo anafata kwa kutoa nyimbo nyingi lakin zote uhai wake umekuwa mdaogo sana na zikizima zinazima kweli.

Cha kushangaza zaidi jamaa amekuwa akitrend sana kwenye mambo ambayo hayahusiani kabisa na mziki mm nayaita mambo ya kipuuzi maana utamuona anajirekod yupo fargha na mpenzi wake anapost ndo utaona watu wanamuongelea karibu week nzima kuhusu izo mambo. Lakini akitoa wimbo watu hata hawashtuki kabisa. Ndo swal langu sasa linapotekea je tuseme kuwa mond now siyo mwanamziki bali socialite maana anapata attention kubwa kwny mishe za mitandaoni kuliko kazi yake.


Diamond hajawahi kuwa mwanamuziki, yule ni msanii tu na ndiyo maana nyimbo zake kama za wasanii wengine wa bongo fleva huwa hazidumu kwa sababu si muziki wa kweli.....ile ni Karaoke.
 
Habari
"Numbisa"
Huyu kijana ni mshabiki kindaki ndaki wa Diamond fuatilia post yoyote ya kumponda au kumsifia moni lazima akamtetee and he knows a lot about Diamond..

Leo kataka tu kujua maana hata mm mwaka huu Diamond hajanifurahisha kwa nyimbo zake labda Corabo alizo shirikishwa.

D ajichunguze upya kunasehem anafeli Though am Die hard fan of Diamond Platinumz and WCB at all
Asante kwa kumuelekeza vzuri.
 
Nasema kwa sababu moja tu ya msingi ambayo hata mm team mond inataka kunichanganya.

Kwa huu mwaka mond kajitahid sana kutoa ngoma nyingi nahisi baada ya aslay yeye ndo anafata kwa kutoa nyimbo nyingi lakin zote uhai wake umekuwa mdaogo sana na zikizima zinazima kweli.

Cha kushangaza zaidi jamaa amekuwa akitrend sana kwenye mambo ambayo hayahusiani kabisa na mziki mm nayaita mambo ya kipuuzi maana utamuona anajirekod yupo fargha na mpenzi wake anapost ndo utaona watu wanamuongelea karibu week nzima kuhusu izo mambo. Lakini akitoa wimbo watu hata hawashtuki kabisa. Ndo swal langu sasa linapotekea je tuseme kuwa mond now siyo mwanamziki bali socialite maana anapata attention kubwa kwny mishe za mitandaoni kuliko kazi yake.
Mkuu upo nchi gani? Kuna utofauti wa masaa mangapi kati ya huku Bongosalama na huko uliko?
 
Nasema kwa sababu moja tu ya msingi ambayo hata mm team mond inataka kunichanganya.

Kwa huu mwaka mond kajitahid sana kutoa ngoma nyingi nahisi baada ya aslay yeye ndo anafata kwa kutoa nyimbo nyingi lakin zote uhai wake umekuwa mdaogo sana na zikizima zinazima kweli.

Cha kushangaza zaidi jamaa amekuwa akitrend sana kwenye mambo ambayo hayahusiani kabisa na mziki mm nayaita mambo ya kipuuzi maana utamuona anajirekod yupo fargha na mpenzi wake anapost ndo utaona watu wanamuongelea karibu week nzima kuhusu izo mambo. Lakini akitoa wimbo watu hata hawashtuki kabisa. Ndo swal langu sasa linapotekea je tuseme kuwa mond now siyo mwanamziki bali socialite maana anapata attention kubwa kwny mishe za mitandaoni kuliko kazi yake.
Roho mbaya zitawaua wabongo


Ina maana hujayaona haya Kwa mwaka 2017

1. Mkataba Wa kinywaji cha Belaire

2. Mkataba na Diamond karanga

3. Mkataba na Flying Dubai



Sijazungumzia kazi alizofanya mwaka huu na Tiwa Savage, Morgan Heritage na Rick rose.



Kama kweli huoni kama hayo ni mafanikio makubwa mno kwa mtanzania mwenzako nakuhakikishia utakuwa mchawi uzeeni mwako
 
Roho mbaya zitawaua wabongo


Ina maana hujayaona haya Kwa mwaka 2017

1. Mkataba Wa kinywaji cha Belaire

2. Mkataba na Diamond karanga

3. Mkataba na Flying Dubai



Sijazungumzia kazi alizofanya mwaka huu na Tiwa Savage, Morgan Heritage na Rick rose.



Kama kweli huoni kama hayo ni mafanikio makubwa mno kwa mtanzania mwenzako nakuhakikishia utakuwa mchawi uzeeni mwako
Jamaa anajitoa tu ufahamu msamehe buree
 
Nasema kwa sababu moja tu ya msingi ambayo hata mm team mond inataka kunichanganya.

Kwa huu mwaka mond kajitahid sana kutoa ngoma nyingi nahisi baada ya aslay yeye ndo anafata kwa kutoa nyimbo nyingi lakin zote uhai wake umekuwa mdaogo sana na zikizima zinazima kweli.

Cha kushangaza zaidi jamaa amekuwa akitrend sana kwenye mambo ambayo hayahusiani kabisa na mziki mm nayaita mambo ya kipuuzi maana utamuona anajirekod yupo fargha na mpenzi wake anapost ndo utaona watu wanamuongelea karibu week nzima kuhusu izo mambo. Lakini akitoa wimbo watu hata hawashtuki kabisa. Ndo swal langu sasa linapotekea je tuseme kuwa mond now siyo mwanamziki bali socialite maana anapata attention kubwa kwny mishe za mitandaoni kuliko kazi yake.
ww team kibamia mbona povu?
 
Jibu la swali lako ni kwamba, ninavyofahamu mimi Masanja ni Mchungaji na wala si Mkandamizaji.
 
Back
Top Bottom