Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,652
Wanajamvi naomba kuuliza.
Hivi hii sheria ya makosa ya mtandao (cyber crime) inaweza kutumika kwa content ambazo zilipostiwa kwenye mitandao ya kijamii kabla sheria haijaanza kutumika.
Kwa mfano. Humu kunapost ambazo zilimvua nguo Mweshimiwa flani ambaye leo ni kiongozi mkubwa.
Najiuliza kama endapo akiziona si atatumia hii sheria kudeal nao?
Hivi hii sheria ya makosa ya mtandao (cyber crime) inaweza kutumika kwa content ambazo zilipostiwa kwenye mitandao ya kijamii kabla sheria haijaanza kutumika.
Kwa mfano. Humu kunapost ambazo zilimvua nguo Mweshimiwa flani ambaye leo ni kiongozi mkubwa.
Najiuliza kama endapo akiziona si atatumia hii sheria kudeal nao?