Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Mbagala Sheikh Ponda hakuwepo, Bali alikuwepo Chang'ombe kukomboa kiwanja kilichotapeliwa na BAKWATA + MANJI
Ni lazima awepo?
Mbagala Sheikh Ponda hakuwepo, Bali alikuwepo Chang'ombe kukomboa kiwanja kilichotapeliwa na BAKWATA + MANJI
muislam yeyote ana haki ya kuusimamia uislam na haki zake ktk jamii,naye anafanya hivyo
Anawakilisha kundi la waislam wapenda ubwabwaHabari wana jf. Nimekuwa napata shida kumwelewa huyu anayeitwa sheikh ponda, hivi anawakilisha kundi gani la waislamu? Amekuwa akiendesha mapambano dhidi ya BAKWATA, SERIKALI NA SASA WAKRISTO, Yeye ni alqida, al shabab, boko haram au ni nani hasa?. Na kwa nini anaendesha harakati zake bila vyombo vya dola kumchukulia hatua? Naomba kujuzwa kwa wanaomwelewa huyu jamaa.
Habari wana jf. Nimekuwa napata shida kumwelewa huyu anayeitwa sheikh ponda, hivi anawakilisha kundi gani la waislamu? Amekuwa akiendesha mapambano dhidi ya BAKWATA, SERIKALI NA SASA WAKRISTO, Yeye ni alqida, al shabab, boko haram au ni nani hasa?. Na kwa nini anaendesha harakati zake bila vyombo vya dola kumchukulia hatua? Naomba kujuzwa kwa wanaomwelewa huyu jamaa.
Uyu ponda anawakilisha kundi la waislam mbumbumbu na maskini wa kipato uliosababishwa na umaskin wa akili,ndomana wanategemea kuomba tu arabuni,waangalie wazanzibar fujo zote kutaka kuvunja miuungano wanaamin waarabu watawatoa kimaisha...fuseke kabsa!
Habari wana jf. Nimekuwa napata shida kumwelewa huyu anayeitwa sheikh ponda, hivi anawakilisha kundi gani la waislamu? Amekuwa akiendesha mapambano dhidi ya BAKWATA, SERIKALI NA SASA WAKRISTO, Yeye ni alqida, al shabab, boko haram au ni nani hasa?. Na kwa nini anaendesha harakati zake bila vyombo vya dola kumchukulia hatua? Naomba kujuzwa kwa wanaomwelewa huyu jamaa.
anawakilisha Iran. Kumbuka huyu shehe Ponda analipwa kila week na serikali ya Iran. Yaani akiacha kulopoka hovyo tuu hana mshahara. KUmbuka huyu chizi Ponda alikuwa anamtukana Yesu katika msikiti wa mwembe chai kila siku masaa 24.Ni mwenyeji wa kigoma na hana kazi ila kutukana wakristo tuu. Yeyey mwache tuu bado hajaingia mita 18 za wakristo. Hapo ndipo atakapo omba heri milima imwangukie.
alikuwa anajisaidia mlangoni kwa Muhammad(s a w) na sio njiani, pia mbona kuna mifano mingi tu, sijui waislamu hawaisomi?kumbuka alichofanyiwa mtume katika mji wa twaif, alipigwa mno na watu wa pale lakini bado aliwaombea dua na Mungu aliipokea na kuwabariki watu hao wa twaifu......waislamu tuache jazba maana muhammad anasema mwenye nguvu kuliko wote ni yule anaeweza kuzikabili jazba na hasira zake zisimuendesheUkichunguza kilichotokea Mbagala hivi karibuni ambapo makanisa yalichomwa moto na wahuni waliojiita waislam, unagundua kuwa kumbe kilichosababisha vurugu si kitendo cha mtoto kunajisi Korani bali chuki, ujinga, husuda na kukata tamaa. Kilichotokea Mbagala ambapo watoto wajinga wawili walibishania juu nguvu za imani zao kingetokea Masaki wala hakuna ambaye angepoteza muda.
Hata mahuburi ya kijinga yanayofanywa na watu kama Ponda Issa Ponda huwa hayapenyi Masaki. Mikocheni, Kunduchi na maeneo mengi ya wenye nazo. Hivyo tatizo kubwa tulilokuwa nalo ni kuwa na watu wengi wajinga na maskini waliokata tamaa kiasi cha kuweza kutumia kisingizio chochote kuonyesha hasira zao. Hii huitwa venting kitaalamu ambapo mwenye hasira hutafutia sehemu ya kuzitolea au kuzitapika.
Wenye kusoma na kufahamu dini watanikosoa. Hata kama hicho kilichotokea kingetokea wakati wa mtume Mohammad asingeamuru upuuzi kama ulioshuhudiwa Mbagala. Nani mara hii kasahau jirani yake Mohammad aliyekuwa akijisaidia njiani mwake ili kumuudhi kila kukicha hadi siku alipougua akashindwa kufanya hivyo na Mohammad akamwombea na akapona na kusilimu? Tuhitimishe kwa kusema wazi kuwa vurugu za Mbagala zilivikwa udini lakini ukweli ni vurugu za kijinga na kimaskini.
Habari wana jf. Nimekuwa napata shida kumwelewa huyu anayeitwa sheikh ponda, hivi anawakilisha kundi gani la waislamu? Amekuwa akiendesha mapambano dhidi ya BAKWATA, SERIKALI NA SASA WAKRISTO, Yeye ni alqida, al shabab, boko haram au ni nani hasa?. Na kwa nini anaendesha harakati zake bila vyombo vya dola kumchukulia hatua? Naomba kujuzwa kwa wanaomwelewa huyu jamaa.
kabla ya kujiuliza hayo maswali yako, omba wadau tupate angalau profile ya elimu yake kwanza
acha vitisho vya kitoto sasa mguseni muone mziki wake kama ffu watauweza.
muislam yeyote ana haki ya kuusimamia uislam na haki zake ktk jamii,naye anafanya hivyo