Jospina
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,421
- 1,387
Hivi Serious Yanga mnakubali huu mtego wa Manji?. Sio kwamba simtaki Manji bali Yanga kwa sasa inahitaji viongozi wapya ambao watakuja kuinusuru klabu hali mbaya kwa sasa kwenye klabu wachezaji halipwi mishahara kwa wakati, Fedha za kuendesha klabu kwa sasa hamna, Fungu la Usajili kwa sasa Hamna dirisha linafunguliwa November 15 na kufungwa December 15.
-Harafu munaambiwa Manji anarejea kazini January 15 siku Mbili baada ya Uchaguzi wa January 13 itakuwa kama Yanga mtakubali kuingia kwenye huu mtego msifanye uchaguzi kwenye nafasi ya mwenyekiti then na hiyo January 15 asirejee nani atalaumiwa? Cha msingi kwa sasa Manji na Wenye Yanga yao wangekubali tu ufanyike uchaguzi na Manji asigombee ila viongozi wanaoingia madarakani wafanya mchakato wa kubadili mfumo wa klabu uwe wa Hisa kama Simba na Manji aingie Yanga kama mwekezaji.
-Kuendelea kumlilia Manji wakati klabu iko kwenye hali mbaya hii haikubaliki kabsa harafu wanachama wa Yanga hebu kumbukeni Viongozi wa Yanga wamesema mara ngapi Manji anarejea kila mara mlikuwa munaambiwa mwezi mmoja anarejea mara miezi mitatu lakini yote hupita bila kumuona sasa mnataka kuaminishwa kitu ambacho mlidanganya huko nyuma. Yanga kwa sasa inahitaji viongozi wapya wenye uchungu na Yanga kuliko Manji.
-Na sasa hivi wanachama wa Yanga wako makundi Matatu moja wanakubali kufanya uchaguzi, wengine wanapinga kufanyika kwa uchaguzi nafasi ya Mwenyekiti, wengine wako njiapanda hawajui wafanye nini wanaumia kimoyomoyo tu hawajui wasapoti kundi lipi ila bora kuifikilia Yanga zaidi kuliko kuongozwa na mihemuko ya muda ambayo itakuja kuwacost baadae.
-Yanga ina watu, Yanga ina viongozi wengi wenya kujua kila fitina ya mpira hapa Tanzania ila walikaa pembeni kwa sababu ya Manji kwa nini wasiandae mfumo ambao utamruhusu Manji aingie kama ana uchungu na Yanga kuliko sasa kumuona kama Mungu mtu na kuamini Yanga haiendi bila Manji? Me naamini Viongozi, wanachama wa Yanga wanaweza kufanya kitu na wakaukwepa huu mtego ambao utakuja kuwatesa miaka mingi Ijayo.
-Yanga kataeni Utumwa huu wa Manji mbona mashabiki wa Simba waliukataa utumwa wao kwa Masoud kuna mtu wa Simba kwa sasa anamtaja Msoud? Jibu ni hapana kwa nini na nyie Yanga huu utumwa msiukatae tumieni busara kutoingiza klabu kwenye migogoro ya ndani ya Klabu na mgogoro dhidi ya Shirikisho huu ndio muda mwafaka wa kukaa chini na kutafakari kwa makini ili kufanya maamuzi sahihi wakati huu Sahihi.
-Harafu munaambiwa Manji anarejea kazini January 15 siku Mbili baada ya Uchaguzi wa January 13 itakuwa kama Yanga mtakubali kuingia kwenye huu mtego msifanye uchaguzi kwenye nafasi ya mwenyekiti then na hiyo January 15 asirejee nani atalaumiwa? Cha msingi kwa sasa Manji na Wenye Yanga yao wangekubali tu ufanyike uchaguzi na Manji asigombee ila viongozi wanaoingia madarakani wafanya mchakato wa kubadili mfumo wa klabu uwe wa Hisa kama Simba na Manji aingie Yanga kama mwekezaji.
-Kuendelea kumlilia Manji wakati klabu iko kwenye hali mbaya hii haikubaliki kabsa harafu wanachama wa Yanga hebu kumbukeni Viongozi wa Yanga wamesema mara ngapi Manji anarejea kila mara mlikuwa munaambiwa mwezi mmoja anarejea mara miezi mitatu lakini yote hupita bila kumuona sasa mnataka kuaminishwa kitu ambacho mlidanganya huko nyuma. Yanga kwa sasa inahitaji viongozi wapya wenye uchungu na Yanga kuliko Manji.
-Na sasa hivi wanachama wa Yanga wako makundi Matatu moja wanakubali kufanya uchaguzi, wengine wanapinga kufanyika kwa uchaguzi nafasi ya Mwenyekiti, wengine wako njiapanda hawajui wafanye nini wanaumia kimoyomoyo tu hawajui wasapoti kundi lipi ila bora kuifikilia Yanga zaidi kuliko kuongozwa na mihemuko ya muda ambayo itakuja kuwacost baadae.
-Yanga ina watu, Yanga ina viongozi wengi wenya kujua kila fitina ya mpira hapa Tanzania ila walikaa pembeni kwa sababu ya Manji kwa nini wasiandae mfumo ambao utamruhusu Manji aingie kama ana uchungu na Yanga kuliko sasa kumuona kama Mungu mtu na kuamini Yanga haiendi bila Manji? Me naamini Viongozi, wanachama wa Yanga wanaweza kufanya kitu na wakaukwepa huu mtego ambao utakuja kuwatesa miaka mingi Ijayo.
-Yanga kataeni Utumwa huu wa Manji mbona mashabiki wa Simba waliukataa utumwa wao kwa Masoud kuna mtu wa Simba kwa sasa anamtaja Msoud? Jibu ni hapana kwa nini na nyie Yanga huu utumwa msiukatae tumieni busara kutoingiza klabu kwenye migogoro ya ndani ya Klabu na mgogoro dhidi ya Shirikisho huu ndio muda mwafaka wa kukaa chini na kutafakari kwa makini ili kufanya maamuzi sahihi wakati huu Sahihi.