Daktari wa Manchester
JF-Expert Member
- Jun 1, 2020
- 350
- 401
CCM wanatumia nguvu nyingi kushindana na upinzani kuliko kutatua KERO za wananchi hili ni tatizo kubwa
CCM wanatumia nguvu nyingi kushindana na upinzani kuliko kutatua KERO za wananchi hili ni tatizo kubwa
Sema Gaidi Hamza mwana ccmHamza ameshakwenda tumuombee Mungu ampe kauli thabiti na amuondolee adhabu za kaburi kuliko kumtaja kihuni!
Kila anayekufa siyo kwamba anastahili kuombewa maana kuna wengine walikuwa na roho za kisheitwanHamza ameshakwenda tumuombee Mungu ampe kauli thabiti na amuondolee adhabu za kaburi kuliko kumtaja kihuni!
Bado tuna nafasi ya kusajili chama kisicho na mashiko yoyote vikundi vya watu, taasisi, au taifa lolote. Chama kwaajiri ya wanainchi, kutoka kwa wanainchi, kwaajiri ya wanainchi.Narudia kusema CCM ni wapuuzi wenye afadhali ukilinganisha na vyama vingine vilivyopo.
Kwanza hakuna chama kinachompigania mwananchi, vyama vilivyopo ni FURSA za watu kupiga pesa, Ajira na kujitajirisha.
Ushahidi upo, mengi tumeyaona tangu mwaka 1995.
Kutoka watatoka tu ni swala la kuamua na wao wanalijua hilo ndio maana wapo haraka sana kudhibiti na kupiga marufuku mijadala yoyote ya kimaendeleo au kimabadiliko sababu wanajua wazi wao hawasimamii hayo mambo hata kidogo.Walichoweza ni kujiimarisha na kukamilisha hawatoki madarakani kirahisi
Hakuna jengine
Angalia January kaingia ili kuleta mgao wa umeme sasa hawa ndio ccm pure na akili zao shetani meko alikuwa wa kuja
Bado tuna nafasi ya kusajili chama kisicho na mashiko yoyote vikundi vya watu, taasisi, au taifa lolote. Chama kwaajiri ya wanainchi, kutoka kwa wanainchi, kwaajiri ya wanainchi.
Hizo wanazoita kero actually ni matokeo yao wenyewe so si kero ni matokeo yao kuwapo muda mrefu na usimamizi mbovu.CCM wanatua nguvu nyingi kushindana na upinzani kuliko kutatua KERO za wananchi hili ni tatizo kubwa
Bado tuna nafasi ya kusajili chama kisicho na mashiko yoyote vikundi vya watu, taasisi, au taifa lolote. Chama kwaajiri ya wanainchi, kutoka kwa wanainchi, kwaajiri ya wanainchi.
Hivi ni nani muasisi maana ikifika nyakati za uchanguzi huwa kunaibuka vyama vya ajabu lengo ni kutawanyisha kura za upinzani na kugawa raia.Kuna chama kipya kinaitwa Chama cha Umoja
Sio hayo Tu hata madundu ya vyoo vya shule za Msangi wameshindwa kuchimba.Hawa jamaa wa CCM wanapenda kutawala kupita kiasi, lakini performance yao ni ndogo kupita maelezo
Huwa wanapenda kujilinganisha na chama cha Kikomunisti cha China, lakini wenzao huko China wameshafanikiwa kusolve tatizo la vitu basic kama maji na umeme na sasa wanajiposition kuwa superpower wa dunia, CCM yenyewe hata ishu ya madawati wameshindwa kusolve miaka yote hii ya kuwa madarakani.
Leo hii Nchi imekauka kaukau, maji hakuna, umeme wenyewe ni wa mgao. Nchi ina maziwa makubwa mengi na mito lukuki lakini serikali za CCM zimeshindwa kusolve hizi ishu.
Sasa kitu gani CCM wanachojua?
1. Wanajua kucontrol mass ya wananchi, kuwapumbaza, kuwalaghai na kufanya uzandiki
2. Wanajua kumbambikizia watu kesi za kisiasa, kutumia dola ili kubaki madarakani
3. Wanajua kufanya ubadhirifu na kutumbua pesa za umma, safari zisizo na tija, kupeana vyeo serikalini kutokana na koo, angalia wanavyogawiana nafasi kutokana na kuwa huyu ni mtoto wa fulani alikuwa na cheo fulani zamani
4. Mipango mibovu, na priorities feki
Leo unaenda kununua midege wakati watu hawana maji ya kunywa ya uhakika, shule hazitoshi, umeme siyo wa uhakika. Hata hiyo Stieglers ikikamilika, megawatts 2000 bado ni peanut, nilitegemea kuona tunaanza projects leo za kuzalisha megawatts kuanzia 10000 na kuendelea
Tatizo kuu la CCM ni Low IQ
Wenzao wa chama cha kikomunisti wanachukua wanachama based on merits, na watu wenye merits wana IQ nzuri. Sasa CCM inachukua watu kutokana na uwezo wao wa kusifu na kujipendekeza au uwezo wao w kumtukana Mbowe, What do you expect?
Hawa Low IQs wataifikisha nchi wapi
Ma ccm ni chanzo cha umasikini kwa WATANZANIAKutoka watatoka tu ni swala la kuamua na wao wanalijua hilo ndio maana wapo haraka sana kudhibiti na kupiga marufuku mijadala yoyote ya kimaendeleo au kimabadiliko sababu wanajua wazi wao hawasimamii hayo mambo hata kidogo.
Umoja wa nini huo? Isije kuwa ni umoja ule aliosema Gwajima kwenye vipeperushi alivyo sambazaKuna chama kipya kinaitwa Chama cha Umoja
Sukuma gang umojaWale ambao hamridhiki na awamu ya sita karibuni UMOJA PARTY tuikomboe nchi dhidi ya utegemezi na manyanyaso
Karibuni wanavyuo mnaokosa ajira mkishuhudia ajira zikirudi kwa walewale miaka nenda rudi. Karibuni wamachinga, karibuni mama lishe. Karibuni wale mliokosa matumaini ndani ya CCM na vyama vingine vya kisiasa. , karibuni watumishi waaminifu na wenye weledi ndani ya serikali. Karibuni...www.jamiiforums.com
Just imagine wapo madarakani more than 60+yrsSio hayo Tu hata madundu ya vyoo vya shule za Msangi wameshindwa kuchimba.
Ndiyo maana wanaikumbatia hii katiba iliyopo maana kuna upenyo wa kuwalinda.OGOPA TAIFA RAISI WAKE ANACHAGUA WAKUU WA WILAYA,WAKUU WA MIKOA,WAKURUGENZI WA WILAYA ,WAKURUGENZI WA MASHIRIKA NA TAASISI ZOTE,MARASI MADASI NA KILA TEUZI. HIVI KWELI RAISI ANAWAJUA HAO WOTE WASIFU WAOO. JAMANI TUNAHITAJI MABASILIKO. WENGINE SIEAKINA PANGU PAKAVU TIA MCHUZI,TUWAPIGIE KURA SIE
Hii itasaidia sana kupunguza ushabiki wa vyama. Kuna watu kama sisi hatupendi vyama vyote vilivyopo nchini lakini tungependa kuwapigia kura wagombea binafsi.Dawa ni katiba mpya itakayoruhusu wagombea binafsi
Tena maji yako Ardhini ni swala la kuyachimba tu.Hawa jamaa wa CCM wanapenda kutawala kupita kiasi, lakini performance yao ni ndogo kupita maelezo
Huwa wanapenda kujilinganisha na chama cha Kikomunisti cha China, lakini wenzao huko China wameshafanikiwa kusolve tatizo la vitu basic kama maji na umeme na sasa wanajiposition kuwa superpower wa dunia, CCM yenyewe hata ishu ya madawati wameshindwa kusolve miaka yote hii ya kuwa madarakani.
Leo hii Nchi imekauka kaukau, maji hakuna, umeme wenyewe ni wa mgao. Nchi ina maziwa makubwa mengi na mito lukuki lakini serikali za CCM zimeshindwa kusolve hizi ishu.
Sasa kitu gani CCM wanachojua?
1. Wanajua kucontrol mass ya wananchi, kuwapumbaza, kuwalaghai na kufanya uzandiki
2. Wanajua kumbambikizia watu kesi za kisiasa, kutumia dola ili kubaki madarakani
3. Wanajua kufanya ubadhirifu na kutumbua pesa za umma, safari zisizo na tija, kupeana vyeo serikalini kutokana na koo, angalia wanavyogawiana nafasi kutokana na kuwa huyu ni mtoto wa fulani alikuwa na cheo fulani zamani
4. Mipango mibovu, na priorities feki
Leo unaenda kununua midege wakati watu hawana maji ya kunywa ya uhakika, shule hazitoshi, umeme siyo wa uhakika. Hata hiyo Stieglers ikikamilika, megawatts 2000 bado ni peanut, nilitegemea kuona tunaanza projects leo za kuzalisha megawatts kuanzia 10000 na kuendelea
Tatizo kuu la CCM ni Low IQ
Wenzao wa chama cha kikomunisti wanachukua wanachama based on merits, na watu wenye merits wana IQ nzuri. Sasa CCM inachukua watu kutokana na uwezo wao wa kusifu na kujipendekeza au uwezo wao w kumtukana Mbowe, What do you expect?
Hawa Low IQs wataifikisha nchi wapi
Walifanya kazi hawakupoteza muda kuwinda winda akina Mbowe.Nchi kama Malaysia na Singapore zimepata uhuru baada yetu lakini kimaendeleo zimeshatuzidi. Ziko mbali. Tena ni nchi ndogo kuliko Tanzania. Siye bado tunasuasua.