Hivi serikali za CCM miaka 70 ya uhuru zimeweza nini mbona vitu muhimu kama Maji na umeme bado shida kuu?

Narudia kusema CCM ni wapuuzi wenye afadhali ukilinganisha na vyama vingine vilivyopo.

Kwanza hakuna chama kinachompigania mwananchi, vyama vilivyopo ni FURSA za watu kupiga pesa, Ajira na kujitajirisha.

Ushahidi upo, mengi tumeyaona tangu mwaka 1995.
Bado tuna nafasi ya kusajili chama kisicho na mashiko yoyote vikundi vya watu, taasisi, au taifa lolote. Chama kwaajiri ya wanainchi, kutoka kwa wanainchi, kwaajiri ya wanainchi.
 
Walichoweza ni kujiimarisha na kukamilisha hawatoki madarakani kirahisi

Hakuna jengine

Angalia January kaingia ili kuleta mgao wa umeme sasa hawa ndio ccm pure na akili zao shetani meko alikuwa wa kuja
Kutoka watatoka tu ni swala la kuamua na wao wanalijua hilo ndio maana wapo haraka sana kudhibiti na kupiga marufuku mijadala yoyote ya kimaendeleo au kimabadiliko sababu wanajua wazi wao hawasimamii hayo mambo hata kidogo.
 
Kuna chama kipya kinaitwa Chama cha Umoja
Bado tuna nafasi ya kusajili chama kisicho na mashiko yoyote vikundi vya watu, taasisi, au taifa lolote. Chama kwaajiri ya wanainchi, kutoka kwa wanainchi, kwaajiri ya wanainchi.
 
Bado tuna nafasi ya kusajili chama kisicho na mashiko yoyote vikundi vya watu, taasisi, au taifa lolote. Chama kwaajiri ya wanainchi, kutoka kwa wanainchi, kwaajiri ya wanainchi.
 
Hawa jamaa wa CCM wanapenda kutawala kupita kiasi, lakini performance yao ni ndogo kupita maelezo

Huwa wanapenda kujilinganisha na chama cha Kikomunisti cha China, lakini wenzao huko China wameshafanikiwa kusolve tatizo la vitu basic kama maji na umeme na sasa wanajiposition kuwa superpower wa dunia, CCM yenyewe hata ishu ya madawati wameshindwa kusolve miaka yote hii ya kuwa madarakani.

Leo hii Nchi imekauka kaukau, maji hakuna, umeme wenyewe ni wa mgao. Nchi ina maziwa makubwa mengi na mito lukuki lakini serikali za CCM zimeshindwa kusolve hizi ishu.

Sasa kitu gani CCM wanachojua?
1. Wanajua kucontrol mass ya wananchi, kuwapumbaza, kuwalaghai na kufanya uzandiki

2. Wanajua kumbambikizia watu kesi za kisiasa, kutumia dola ili kubaki madarakani

3. Wanajua kufanya ubadhirifu na kutumbua pesa za umma, safari zisizo na tija, kupeana vyeo serikalini kutokana na koo, angalia wanavyogawiana nafasi kutokana na kuwa huyu ni mtoto wa fulani alikuwa na cheo fulani zamani

4. Mipango mibovu, na priorities feki
Leo unaenda kununua midege wakati watu hawana maji ya kunywa ya uhakika, shule hazitoshi, umeme siyo wa uhakika. Hata hiyo Stieglers ikikamilika, megawatts 2000 bado ni peanut, nilitegemea kuona tunaanza projects leo za kuzalisha megawatts kuanzia 10000 na kuendelea

Tatizo kuu la CCM ni Low IQ
Wenzao wa chama cha kikomunisti wanachukua wanachama based on merits, na watu wenye merits wana IQ nzuri. Sasa CCM inachukua watu kutokana na uwezo wao wa kusifu na kujipendekeza au uwezo wao w kumtukana Mbowe, What do you expect?
Hawa Low IQs wataifikisha nchi wapi
Sio hayo Tu hata madundu ya vyoo vya shule za Msangi wameshindwa kuchimba.
 
OGOPA TAIFA RAISI WAKE ANACHAGUA WAKUU WA WILAYA,WAKUU WA MIKOA,WAKURUGENZI WA WILAYA ,WAKURUGENZI WA MASHIRIKA NA TAASISI ZOTE,MARASI MADASI NA KILA TEUZI. HIVI KWELI RAISI ANAWAJUA HAO WOTE WASIFU WAOO. JAMANI TUNAHITAJI MABASILIKO. WENGINE SIEAKINA PANGU PAKAVU TIA MCHUZI,TUWAPIGIE KURA SIE
 
Kutoka watatoka tu ni swala la kuamua na wao wanalijua hilo ndio maana wapo haraka sana kudhibiti na kupiga marufuku mijadala yoyote ya kimaendeleo au kimabadiliko sababu wanajua wazi wao hawasimamii hayo mambo hata kidogo.
Ma ccm ni chanzo cha umasikini kwa WATANZANIA
 
OGOPA TAIFA RAISI WAKE ANACHAGUA WAKUU WA WILAYA,WAKUU WA MIKOA,WAKURUGENZI WA WILAYA ,WAKURUGENZI WA MASHIRIKA NA TAASISI ZOTE,MARASI MADASI NA KILA TEUZI. HIVI KWELI RAISI ANAWAJUA HAO WOTE WASIFU WAOO. JAMANI TUNAHITAJI MABASILIKO. WENGINE SIEAKINA PANGU PAKAVU TIA MCHUZI,TUWAPIGIE KURA SIE
Ndiyo maana wanaikumbatia hii katiba iliyopo maana kuna upenyo wa kuwalinda.
 
Dawa ni katiba mpya itakayoruhusu wagombea binafsi
Hii itasaidia sana kupunguza ushabiki wa vyama. Kuna watu kama sisi hatupendi vyama vyote vilivyopo nchini lakini tungependa kuwapigia kura wagombea binafsi.
 
Hawa jamaa wa CCM wanapenda kutawala kupita kiasi, lakini performance yao ni ndogo kupita maelezo

Huwa wanapenda kujilinganisha na chama cha Kikomunisti cha China, lakini wenzao huko China wameshafanikiwa kusolve tatizo la vitu basic kama maji na umeme na sasa wanajiposition kuwa superpower wa dunia, CCM yenyewe hata ishu ya madawati wameshindwa kusolve miaka yote hii ya kuwa madarakani.

Leo hii Nchi imekauka kaukau, maji hakuna, umeme wenyewe ni wa mgao. Nchi ina maziwa makubwa mengi na mito lukuki lakini serikali za CCM zimeshindwa kusolve hizi ishu.

Sasa kitu gani CCM wanachojua?
1. Wanajua kucontrol mass ya wananchi, kuwapumbaza, kuwalaghai na kufanya uzandiki

2. Wanajua kumbambikizia watu kesi za kisiasa, kutumia dola ili kubaki madarakani

3. Wanajua kufanya ubadhirifu na kutumbua pesa za umma, safari zisizo na tija, kupeana vyeo serikalini kutokana na koo, angalia wanavyogawiana nafasi kutokana na kuwa huyu ni mtoto wa fulani alikuwa na cheo fulani zamani

4. Mipango mibovu, na priorities feki
Leo unaenda kununua midege wakati watu hawana maji ya kunywa ya uhakika, shule hazitoshi, umeme siyo wa uhakika. Hata hiyo Stieglers ikikamilika, megawatts 2000 bado ni peanut, nilitegemea kuona tunaanza projects leo za kuzalisha megawatts kuanzia 10000 na kuendelea

Tatizo kuu la CCM ni Low IQ
Wenzao wa chama cha kikomunisti wanachukua wanachama based on merits, na watu wenye merits wana IQ nzuri. Sasa CCM inachukua watu kutokana na uwezo wao wa kusifu na kujipendekeza au uwezo wao w kumtukana Mbowe, What do you expect?
Hawa Low IQs wataifikisha nchi wapi
Tena maji yako Ardhini ni swala la kuyachimba tu.
 
Back
Top Bottom