TUTUO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,253
- 2,023
Chakushangaza hatujasikia waislam wa India wafanyiwe fujo ingawa wanakula ng'ombeMkuu labda km hujanielewa
Fatilia mgogogoro huo haujaanza Leo
Hao waislam uko Myanmar ndio chanzo cha matatizo
Wamewakuta wabudha na utamaduni wao wa kuabudu ng'ombe km mungu wao ila wao wanaua wale ngombe
Sasa unafkiri nini kitatokea
Sawa na hapa watu wasio waislam waende kubomoa misikit unafkir hali itakuaje
Halafu unatabia ya Ku mpriempty mtu yaan we unajiweka kwenye kundi la wanaojua
Hivi huo ndo usomi wako? Acha paniki za kitoto
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Sent using Jamii Forums mobile app