Asa'rile
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 438
- 120
Wanachokifanya sasa hivi hawa wa Sri lanka, ni kualikana, wanaitana kila kukicha.
Fani yao kubwa ni, ma graphic designers, na pre press, pia ni mabingwa wa printing na kutengeneza film
za kutolea matangazo.nk
Tunachoikumbusha Serikali yetu, na hasa usalama wa raia; waachane na kuwabana UKAWA tu kwa sasa
waliangalie suala hili pamoja na utitiri mwingine wa wasomali wamiminikao nchini.
Serikali ya nchi ya Sri Lanka, imewatimua nchini humo waasi wajulikanao kama TAMIL TIGERS,
Na wengi wa waasi hao wamekimbilia nchi za Afrika (na miongoni mwao ni watu wenye taaluma zao)
Tanzania Watch Out ! hawa wa-sri lanka ni hatari kama wasomali
Fani yao kubwa ni, ma graphic designers, na pre press, pia ni mabingwa wa printing na kutengeneza film
za kutolea matangazo.nk
Tunachoikumbusha Serikali yetu, na hasa usalama wa raia; waachane na kuwabana UKAWA tu kwa sasa
waliangalie suala hili pamoja na utitiri mwingine wa wasomali wamiminikao nchini.
Serikali ya nchi ya Sri Lanka, imewatimua nchini humo waasi wajulikanao kama TAMIL TIGERS,
Na wengi wa waasi hao wamekimbilia nchi za Afrika (na miongoni mwao ni watu wenye taaluma zao)
Tanzania Watch Out ! hawa wa-sri lanka ni hatari kama wasomali