Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 8,917
- 23,236
yaani tokea saa 2 asubuhi nipo kituo cha afya mpaka sasa na ninaambiwa huwenda mpaka saa 9 nimemsindikiza mke wangu clinic kwa ushauri wa mtoa huduma na matangazo ya wizara ya afya. sijafanya kazi na hatakula sijui nitakula nini leo!
yaani tanzania kwa mfumo huu wa utoaji huduma huu sidhani kama tutafika tunakotaka kufika.
yaani tanzania kwa mfumo huu wa utoaji huduma huu sidhani kama tutafika tunakotaka kufika.