Hivi Serikali ikimuamini huyu mwamba wa huko Mtwara hawezi kusaidia kuwaangamiza wasiojulikana na hata kutupa kinga thabiti ya janga la Corona?

Mzukulu

JF-Expert Member
Feb 14, 2020
1,401
2,631
Mkazi Mmoja huko Mkoani Mtwara amewashangaza na hadi leo Kuwaacha Hoi Wananchi huko baada ya Kuanzisha Duka lake la Kuuza Bidhaa mbalimbali tokea Miezi Minne iliyopita ila huwa halifungi kabisa huku ikifika Usiku analiacha hivyo hivyo na kwenda zake Kulala eneo lingine lakini hakuna chochote Kinachoibiwa wakati eneo lililopo kuna Vibaka, Wezi na Majambazi Waandamizi.

Chanzo: ITV Tanzania

Kuna Mtu Mmoja nakumbuka huko nyuma aliwahi kuniambia nicheze na Uchawi kote ila Mikoa ya Mtwara na Lindi ni Habari nyingine na usipime.
 
Mkazi Mmoja huko Mkoani Mtwara amewashangaza na hadi leo Kuwaacha Hoi Wananchi huko baada ya Kuanzisha Duka lake la Kuuza Bidhaa mbalimbali tokea Miezi Minne iliyopita ila huwa halifungi kabisa huku ikifika Usiku analiacha hivyo hivyo na kwenda zake Kulala eneo lingine lakini hakuna chochote Kinachoibiwa wakati eneo lililopo kuna Vibaka, Wezi na Majambazi Waandamizi.

Chanzo: ITV Tanzania

Kuna Mtu Mmoja nakumbuka huko nyuma aliwahi kuniambia nicheze na Uchawi kote ila Mikoa ya Mtwara na Lindi ni Habari nyingine na usipime.
Lindi na Mtwara ipo kwenye top 10 pamoja na Mwanza, Shinyanga, Geita, Tanga, Kigoma, Rukwa, Ruvuma, Iringa na Mbeya.
 
Otherwise uniambie hata biblia huiamini kama wewe ni christian
Wewe unaiamini? Umeisoma yote kwa utulivu na kuinyambua kifasihi? Au ni wale wale ukitakiwa kuelezea hoja unakimbilia kusema ' imeandikwa'? Za kuambiwa ongeza na za kwako.
 
Back
Top Bottom