Kigogo ndio tumaini letu la kutuletea matokeo sahihi ya uchaguzi wa Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongeza na vile 1000 kila mkoaCha muhimu tunaitaji kuviona viwanda elfu Nne mlivyojenga pamoja na Mil 50 kila kijiji.
Za mwizi arobaini!Ni suala la muda tu!
Sio kweli. Amelaaniwa yoyote anayemtegemea mwanadamu. Moyoni mwake amemuacha Mwenyezi MunguKigogo ndio tumaini letu la kutuletea matokeo sahihi ya uchaguzi wa Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nyakati nafikiria hivyo pia. Pengjne ni namna ya kum discipline boss wao kwa mambo wanayoona hayana maslahi kwa Taifa?Kigogo ni mali ya TISS.
They have to go far from there.Kuna nyakati nafikiria hivyo pia. Pengjne ni namna ya kum discipline boss wao kwa mambo wanayoona hayana maslahi kwa Taifa?
Na pia pia siku hizi serikali za Dunia zinaelewa threat inaanzia mtandaoni kuanzia nyakati za Arab springs ,yellow jackets movement na huko hongkong(Hong kong protest) siku za karibuni ,kwa China yenyewe imeamua kudhibiti kwa namana yake kwa kuzuia baadhi ya mitandao maarufu .lakini kwa nchi nyingine zinachofanya ni kununua tools za ku spy mitandao hiyo na Niingine kununua wafanyakazi wa mitandao hiyo kuwapa habari za wahusika wanaowahitaji ,mfano ni waliokuwa wafanyakazi wa tweeter waliokamatwa hivi karibuni kwa kuifanyia kazi Saudi Arabia.Serikali ina mambo mengine mengi, kama mtu sio threat kwa Taifa kuna haja gani ya kumkamata?
Na kwann unadai kuwa wameshindwa ilihali hatujawahi kusikia serikali ikitangaza kumtafuta.
Mimi binafsi namuona kama mtu wa kujitungia story zisizo na kichwa wala miguu, mwenye chuki kwa Magufuli, much know fulani, dharau na kiburi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kulivyo na watu wasiojulikana katika jamii yetu, kuna watu pia wasioonekana, na Kigogo 2014 ni mmoja wao.Kikundi maalumu.
Taarifa anazotoa zitoshe tu kukujulisha kwamba kigogo ni serikali yenyewe.
Kama ina makundi,inapingana yenyewe au inatuchezea akili mimi hilo sijui ila tu jambo moja la wazi ile ni serikali yenyewe.
Huwezi kuwa na access ya info kama zile kirahisi bila kuwa ndani ya mfumo na huwezi kuwa na info nyingi vile bila kuwa na sources nyingi ndani ya hiyo serikali na huwezi kuoperate na kucoordinate mambo vile bila kuwa na watu wengi na huwezi kujificha na kusumbua serikali organized na yenye ncha kali kama yetu katika dunia hii bila kuwa part and parcel of it.
Sasa kama account ile ni ishara ya serikali kupingana yenyewe kwa yenyewe,basi lile tatizo ni kubwa sana na litaleta shida siku sio nyingi.Ni ishara ya ufa mkubwa within the system na wale wasioridhika wanaonekana kuwa powerful.
Kigogo anapaswa kutafutwa within the system,kama wapo walioachwa,walioonewa ndani ya vyombo vya dola,chama tawala,serikali kuu na maeneo ya hivyo,basi warudishwe kundini serikali iwe moja,strong.Huenda tukashangaa account inajifunga yenyewe bila kujulikana ilianzaje na inaishaje.
Instincts zangu zinaniambia tu suala la kigogo nilione kwa mtazamo huu.
Wakimdaka Ni pm nikulipeWatamdaka tu,,sema tu cku bado hazijafika
Taarifa anazotoa zitoshe tu kukujulisha kwamba kigogo ni serikali yenyewe.
Kama ina makundi,inapingana yenyewe au inatuchezea akili mimi hilo sijui ila tu jambo moja la wazi ile ni serikali yenyewe.
Huwezi kuwa na access ya info kama zile kirahisi bila kuwa ndani ya mfumo na huwezi kuwa na info nyingi vile bila kuwa na sources nyingi ndani ya hiyo serikali na huwezi kuoperate na kucoordinate mambo vile bila kuwa na watu wengi na huwezi kujificha na kusumbua serikali organized na yenye ncha kali kama yetu katika dunia hii bila kuwa part and parcel of it.
Sasa kama account ile ni ishara ya serikali kupingana yenyewe kwa yenyewe,basi lile tatizo ni kubwa sana na litaleta shida siku sio nyingi.Ni ishara ya ufa mkubwa within the system na wale wasioridhika wanaonekana kuwa powerful.
Kigogo anapaswa kutafutwa within the system,kama wapo walioachwa,walioonewa ndani ya vyombo vya dola,chama tawala,serikali kuu na maeneo ya hivyo,basi warudishwe kundini serikali iwe moja,strong.Huenda tukashangaa account inajifunga yenyewe bila kujulikana ilianzaje na inaishaje.
Instincts zangu zinaniambia tu suala la kigogo nilione kwa mtazamo huu.
Umaalufu....Hivi huyu kigogo ndio yule aliyetukanwa sana humu kisa amemshambulia mbowe?
Nijuavyo
, Tanzania haina sera za siri za kuwafatilia wapinzani wa serikali
Hii ya kusema tcra wameandika barua twitter, tiss wanamfuatilia, mala tanpol ni uzushi na kujitafutia umaalufu tu, na umaalufu zaidi anaupata kwa hawa vijana wenzetu(nyumbu) ambao kazi za vichwa vyao ni kuamini kwanza kabla ya kuhoji.
Wakuu Salaam;
Wapo watu wengi wameshikwa na kupelekwa mahakamani kwa makosa mbalimbali ya kimtandao.
Juzi kadakwa Idriss na hakieleweki hadi saivi, shauri lake linasoma ni makosa ya mtandaoni.
Waandishi wa Habari, Viongozi wa vyama vya upinzani imekua ni rahisi sana kuwaita kituoni na kuwapeleka mahakamani ikibidi pale ambapo wanaandika maudhui ya aina fulani mtandaoni. Hali hii imefanya pia wengine kupata kesi zilizobadilisha taswira ya siasa kutokana na hukumu zilizotolewa kwa wahusika.
Hali ni tofauti kwa mtu anayejiita Kigogo2014 anayetumia mtandao wa Twitter sana kuposti mambo mbalimbali, mengine yana kejeli kwa Mkuu wa nchi na sekta mbalimbali na hata viongozi husika.
Juzi kadakwa Mdude, na pia alishawahi shikwa na kuteseka kisa ishu ileile ya maudhui mtandaoni na hili kila mtu anakumbuka.
Mifano iko mingi kwa viongozi wa siasa hasa wa vyama vya upinzani waliopata kesi hizo.
Kwanini hii awamu ya 5 ya JPM isiojaribiwa kama anavyosema iliyopitisha sheria kuhusu matumizi ya mtandao imeshindwa kumshika mtu anayeitwa Kigogo2014 ilihali inaweza shika wengine kirahis tu?