Hivi Serikali hii ya Awamu ya 5 imeshindwa kweli kumshika na kumshtaki mtu anayeitwa Kigogo2014?

Status
Not open for further replies.
Hivi huyu kigogo ndio yule aliyetukanwa sana humu kisa amemshambulia mbowe?

Nijuavyo
, Tanzania haina sera za siri za kuwafatilia wapinzani wa serikali

Hii ya kusema tcra wameandika barua twitter, tiss wanamfuatilia, mala tanpol ni uzushi na kujitafutia umaalufu tu, na umaalufu zaidi anaupata kwa hawa vijana wenzetu ambao kazi za vichwa vyao ni kuamini kwanza kabla ya kuhoji.
 
Kama mange kimambi walikua wanamjua sura , wanafahamu anapoishi wnawajua watoto wake na ndugu zake na aliwasumbua for years kila siku akizusha kitu kipya na kuzua taharuki kila siku. Hadi siku moja akawafanya polisi kama watoto wadogo kwa kuwapigisha kwata nchi zima huku wakizunguka na silaha za kivita mitaani.. lakini walimshindwa.

Sasa watamuweza mtu ambaye hawamjui jina wala sura
ili nibidi nicheke sana mkuu asubuhi hii

maendeleo hayana chama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mdude na wengine waliokamatwa, mtanzania wa kule kijijini anafaidika na nini?
Watu wengi wanajibu kwa mihemko ya kisiasa hawajajua point yako.(kiini cha swali).

Kuna udhaifu mkubwa katika taasisi yetu ya usalama.
Huyu Kigogo hakamatwi aitha kwa sababu zifuatazo;
-Kushindwa kumpata kutokana na udhaifu wa taasisi kiutendaji.
- Mkakati maaluma wa kutokumkamata ili kufikisha ujumbe fulani kwa mamlaka za juu kuonyesha hali ndani ya taasidi sio shwari.
- Taasisi ya usalama haiko pamoja kiutendaji na serikali ilioko madarakani.
 
Dawa ya MTU ama KITU kinachokuudhi ni kutokukitilia maanani, ni kuachana nacho....

Na sijui inakuwaje nyie watu mnaona mabaya ya wengine tu na kutaka wahukumiwe huku nyie mkiwa wachafu na wenye dhambi kuliko pengine hata hao mnaowachukia....!

Jirekebisheni bwana, acheni hizo. Acheni watu waseme, waishi maisha yao wayatakayo....
Hii sms imenigusa sana ubarikiwe sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ina mambo mengine mengi, kama mtu sio threat kwa Taifa kuna haja gani ya kumkamata?
Na kwann unadai kuwa wameshindwa ilihali hatujawahi kusikia serikali ikitangaza kumtafuta.

Mimi binafsi namuona kama mtu wa kujitungia story zisizo na kichwa wala miguu, mwenye chuki kwa Magufuli, much know fulani, dharau na kiburi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali isipoteze muda wake na raslimali kupambana na watu kama Kigogo. Kuna mambo muhimu zaidi ya kufanya. After all watanzania wangapi wanasoma tweet zake?
 
Wakuu Salaam;

Wapo watu wengi wameshikwa na kupelekwa mahakamani kwa makosa mbalimbali ya kimtandao.

Juzi kadakwa Idriss na hakieleweki hadi saivi, shauri lake linasoma ni makosa ya mtandaoni.

Waandishi wa Habari, Viongozi wa vyama vya upinzani imekua ni rahisi sana kuwaita kituoni na kuwapeleka mahakamani ikibidi pale ambapo wanaandika maudhui ya aina fulani mtandaoni. Hali hii imefanya pia wengine kupata kesi zilizobadilisha taswira ya siasa kutokana na hukumu zilizotolewa kwa wahusika.

Hali ni tofauti kwa mtu anayejiita Kigogo2014 anayetumia mtandao wa Twitter sana kuposti mambo mbalimbali, mengine yana kejeli kwa Mkuu wa nchi na sekta mbalimbali na hata viongozi husika.

Juzi kadakwa Mdude, na pia alishawahi shikwa na kuteseka kisa ishu ileile ya maudhui mtandaoni na hili kila mtu anakumbuka.

Mifano iko mingi kwa viongozi wa siasa hasa wa vyama vya upinzani waliopata kesi hizo.

Kwanini hii awamu ya 5 ya JPM isiojaribiwa kama anavyosema iliyopitisha sheria kuhusu matumizi ya mtandao imeshindwa kumshika mtu anayeitwa Kigogo2014 ilihali inaweza shika wengine kirahis tu?
Kigogo2014 ni nani?
Jinsia gani?
Mtaifa gani?
Ni mtu au taasisi?
Anpata wapi taarifa na nyaraka nyeti za govt?
Anaishi wapi ndani au nje ya Tanzania?
Sura yake halisi je, ni ipi (anafananaje)?
]Ni mwanaharakati mzalendo au mzandiki?

Haya yote yanajibika kwa @mdudechadema@idrisssultan na wengineo katika mifano yako ila si kwaKigogo2014

Ila pia kwanini akamatwe? Shida ni nini?

''Deception is the state of mind, and the mind of state" JJA CIA chief of CI.

"open your eyes wake up to lies"
tapatalk_1590317804960.jpeg


"open your eyes wake up to lies"
 
Status
Not open for further replies.
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom