Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,236
Wanahangaika na vitu vya kijinga badala ya kujenga VIWANDA na kutoa ajira kwa wajitimu waliimaliza vyuo ndani ya miaka 5 iliyopitaSerikali ishamchomolea betri
Wanahangaika na vitu vya kijinga badala ya kujenga VIWANDA na kutoa ajira kwa wajitimu waliimaliza vyuo ndani ya miaka 5 iliyopitaSerikali ishamchomolea betri
"Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha".Ni lazima tujifunze kuheshimiana na kutii mamlaka.Kwani kigogo yuko wapi? Wenye akili wameshamjua...
Savimbi JrYule mwana harakati huru mbna ashamlipua kigogo ni Nani naona kamtaja hadi Jina au syo yeye
Yupo twitter"Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha".Ni lazima tujifunze kuheshimiana na kutii mamlaka.Kwani kigogo yuko wapi? Wenye akili wameshamjua...
hii serikali c inabeza mabeberuWakuu Salaam;
Wapo watu wengi wameshikwa na kupelekwa mahakamani kwa makosa mbalimbali ya kimtandao.
Juzi kadakwa Idriss na hakieleweki hadi saivi, shauri lake linasoma ni makosa ya mtandaoni.
Waandishi wa Habari, Viongozi wa vyama vya upinzani imekua ni rahisi sana kuwaita kituoni na kuwapeleka mahakamani ikibidi pale ambapo wanaandika maudhui ya aina fulani mtandaoni. Hali hii imefanya pia wengine kupata kesi zilizobadilisha taswira ya siasa kutokana na hukumu zilizotolewa kwa wahusika.
Hali ni tofauti kwa mtu anayejiita Kigogo2014 anayetumia mtandao wa Twitter sana kuposti mambo mbalimbali, mengine yana kejeli kwa Mkuu wa nchi na sekta mbalimbali na hata viongozi husika.
Juzi kadakwa Mdude, na pia alishawahi shikwa na kuteseka kisa ishu ileile ya maudhui mtandaoni na hili kila mtu anakumbuka.
Mifano iko mingi kwa viongozi wa siasa hasa wa vyama vya upinzani waliopata kesi hizo.
Kwanini hii awamu ya 5 ya JPM isiojaribiwa kama anavyosema iliyopitisha sheria kuhusu matumizi ya mtandao imeshindwa kumshika mtu anayeitwa Kigogo2014 ilihali inaweza shika wengine kirahis tu?
Yupo twitter
"Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha".Ni lazima tujifunze kuheshimiana na kutii mamlaka.Kwani kigogo yuko wapi? Wenye akili wameshamjua...
kosa lake ni nini wakati hata wewe ni followers wake,kabla hata hujaangali TBC unaingia kwenye mitandao kwanza uone ka twite kitu ganiJibu swali kwanini hajakamatwa hadi sasa?
mbona sasa tunaelekea 50za mwizi ni Arobaini
Nashangaa zaidi ya siku 13 hajapost kituVipi kigogo wenu yukwapi??????? Hahahahaha... kwisha habari yake.. wanaume washafanya yao... pumbavvvv.... hahahahaha
Nimeona wadau wake wanavyoangaika kumtafuta kupitia page, dm na other way ahahahahaa...Kashadakwa tayari
Kwa jinsi Hii serikali inapenda show off angekamatwa ungekuta washaropokakule tweeter hayupo!!ameshakamatwa!!!
Sanaa!Kwa jinsi Hii serikali inapenda show off angekamatwa ungekuta washaropoka
kabadilisha jina