Hivi Serikali hii mna tatizo gani kutolipa wastaafu mafao yao? Hii ni laana mtaua wazee wa watu kwa mawazo

LAPF walikuwa wanalipwa miezi 2 kabla ya kustaafu akaingia mkuu wa malaika akavunja vunja matokeo yake imebaki NSSF na PSSF sijui ni hatari sna

Mimi mzazi wangu alistaafu enzi za kikwete december 31, 2015, imagine alistaafu december, january PPF walimlipa pensheni, na march 2016 , PPF wakamlipa lumpsum yake.. yaani fasta fasta ba hakuwai fatilia popote.. alikuwa ndani tu , ila malipo hayakuchelewa...nashangaa sijui nini kimetokea zama hizi
 
Very funny indeed. Kuna mijitu inaenda kazini inadeal na faili la malipo lina miaka 2 halijawahi kufanyiwa kazi na yenyewe inalipwa mishahara tuu. Ukipiga simu utasikia ngoja tumkumbushie afisa anaelishughulikia 2 yrs......???? Swineeee....
 
Huwa nawaangalia wafanyakazi wa hii mifuko utadhani watu wa maana Sana but cheos..... hawana tabu hawaaa....
 
Mimi mzazi wangu alistaafu enzi za kikwete december 31, 2015, imagine alistaafu december, january PPF walimlipa pensheni, na march 2016 , PPF wakamlipa lumpsum yake.. yaani fasta fasta ba hakuwai fatilia popote.. alikuwa ndani tu , ila malipo hayakuchelewa...nashangaa sijui nini kimetokea zama hizi
Pesa inajenga Chato mkuu
 
Labda pesa za mifuko zinachotwa na aliens, Tena
Hii issue ni nyeti sana mkuu.Mimi kiukweli hua inanipa shida na ukakasi kuiongelea.Halafu the bad thing is,serikali imekiri ilikopa somewhere around 2.8tri.kwenye mifuko ya jamii,imelipa 1.2 trillion na zimebaki 1.6 trillion.Halafu wanasema wanajua wanadaiwa kiasi hicho, ila wanahakiki madeni.Ni ajabu,una hakiki nini sasa,umekopa rudisha.....!Mimi najua nadaiwa 100,000/= na Mr.X,halafu eti nahakiki!Nahakiki nini sasa?Ridiculous.Mbaya zaidi,nasema with laxity, huku wazee wa watu wakiendelea kuteseka,na wengine hata wanakufa!No, we have serious moral problems kama jamii.Yaani upendo umepoa kabisa.

Na hawa watumishi wanaotesa wazee wa watuu,hivi wamesahau kwamba na wao ipo siku watastaafu?Ajabu sana.
 
Tatizo ni ukosefu wa mifumo imara hasa hawamu hii, MTU mmoja ndio mwamuzi wa kila kitu, juzi kati nilishangaa sana Magufuri alipokuwa anamkoromea waziri wa mambo ya ndani kwakosa LA askar wastaafu kukulipwa mafao
 
Haiwezekani mtu mwaka unaisha anafuatilia pesa yake na amekwisha staafu anazungushwa tu hakuna majibu ya kueleweka. Hivi huyu mzee mnata aingie mtaani aishi vipi wakati mshahara hana na pesa anazodai ni zake?

Hii siyo kujitafutia laana na chuki ni kitu gani? Mnadhani kiwango cha chuki nchini mwetu kiko juu, mnadhani kwa hali hii watu watalipendaje taifa?

Wazee hawa kila wakienda kwenye ofisi za mifuko yao ya hifadhi ya jamii wanaambiwa shida haipo kwao, tatizo Hazina ndio hawatoi pesa. Hivi Hazina hizi pesa ni za kwenu? Mtu process zote za kupatiwa pesa zake zimeshakamilika, mnachochelewesha ni kitu gani? Huu ubabe hata kwenye mali za watu utawasaidia kitu gani hasa?

Wabunge wanamaliza miaka yao 5 kabla hata ya kuanza uchaguzi mpya tayari wameshalipwa pesa zao, huu upendeleo ni wa hovyo kabisa na ni madhambi makubwa. Mungu ataendelea kuwalaani wote wanaohusika na kuwasumbua wazee hawa.
Mitano tena
 
Bi mkubwa mwaka wa 2 huu anafuatilia bila bila.. Nauli mpaka sasa ishafika M moja na bado hajapata kitu.. Wingi wa mawazo kwakwe unanifanya kila nachopata mtu wa kwanza kumfikiria ni yeye.
 
Bi mkubwa mwaka wa 2 huu anafuatilia bila bila.. Nauli mpaka sasa ishafika M moja na bado hajapata kitu.. Wingi wa mawazo kwakwe unanifanya kila nachopata mtu wa kwanza kumfikiria ni yeye.

Inueni mioyo sasa!
 
Kuna dada mmoja alifiwa na mme wake aliekua polisi, amefatilia mafao yake zaidi ya miaka mitano bila mafanikio, wiki iliyopita akapiga simu kwenye kile kipindi cha polepole akatoa malalamiko baada ya siku mbili akapigiwa simu kuwa cheki yake iko tayari amelipwa pesa yote, nilichojifunza watu wanazungushwa mafao yao kwa makusudi ila ukipata mtu wa juu unalipwa fasta, huyo dada kashasafiri mara kadhaa kwenda makao makuu ila aliishia kupigwa kalenda ila simu moja ya humphrey polepole imempa mafao yake yote.
 
Haiwezekani mtu mwaka unaisha anafuatilia pesa yake na amekwisha staafu anazungushwa tu hakuna majibu ya kueleweka. Hivi huyu mzee mnata aingie mtaani aishi vipi wakati mshahara hana na pesa anazodai ni zake?

Hii siyo kujitafutia laana na chuki ni kitu gani? Mnadhani kiwango cha chuki nchini mwetu kiko juu, mnadhani kwa hali hii watu watalipendaje taifa?

Wazee hawa kila wakienda kwenye ofisi za mifuko yao ya hifadhi ya jamii wanaambiwa shida haipo kwao, tatizo Hazina ndio hawatoi pesa. Hivi Hazina hizi pesa ni za kwenu? Mtu process zote za kupatiwa pesa zake zimeshakamilika, mnachochelewesha ni kitu gani? Huu ubabe hata kwenye mali za watu utawasaidia kitu gani hasa?

Wabunge wanamaliza miaka yao 5 kabla hata ya kuanza uchaguzi mpya tayari wameshalipwa pesa zao, huu upendeleo ni wa hovyo kabisa na ni madhambi makubwa. Mungu ataendelea kuwalaani wote wanaohusika na kuwasumbua wazee hawa.
Huu Mwaka wa 4 PSSSF wanamsumbua MZEE MSTAAFU
 
Haiwezekani mtu mwaka unaisha anafuatilia pesa yake na amekwisha staafu anazungushwa tu hakuna majibu ya kueleweka. Hivi huyu mzee mnata aingie mtaani aishi vipi wakati mshahara hana na pesa anazodai ni zake?

Hii siyo kujitafutia laana na chuki ni kitu gani? Mnadhani kiwango cha chuki nchini mwetu kiko juu, mnadhani kwa hali hii watu watalipendaje taifa?

Wazee hawa kila wakienda kwenye ofisi za mifuko yao ya hifadhi ya jamii wanaambiwa shida haipo kwao, tatizo Hazina ndio hawatoi pesa. Hivi Hazina hizi pesa ni za kwenu? Mtu process zote za kupatiwa pesa zake zimeshakamilika, mnachochelewesha ni kitu gani? Huu ubabe hata kwenye mali za watu utawasaidia kitu gani hasa?

Wabunge wanamaliza miaka yao 5 kabla hata ya kuanza uchaguzi mpya tayari wameshalipwa pesa zao, huu upendeleo ni wa hovyo kabisa na ni madhambi makubwa. Mungu ataendelea kuwalaani wote wanaohusika na kuwasumbua wazee hawa.
Hatari sana
 
Back
Top Bottom