Kichapo13
Member
- Jan 27, 2013
- 75
- 30
Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikipita katika baadhi ya maeneo, na kukuta wanawake wanaouza miili yao katika vyumba vyao. Biashara hii maarufu imeanza siku nyingi, na hakuna jitihada zozote zinazofanywa kuiondoa. Kabila la Wahaya linahusishwa na biashara hii kwasababu wanawake wengi wanaojiuza wanafahamika kwa kabila hilo. Hebu tujadili, serikali imehalalisha biashara hii? Kama sivyo, mapambano dhidi ya Ukimwi yana faida gani?