Hivi Sera ya Bima ya Afya kwa Wote ni ya CCM au CHADEMA?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,779
141,667
Kuna baadhi ya makamanda wameniambia sera ya Bima ya Afya kwa Wote ni ya Chadema na kwamba Hayati Magufuli aliikopa kutoka Ufipa akaitia kwenye Ilani ya uchaguzi ya CCM.

Mimi naamini hii ni sera ya CCM na imekuwepo tangia mzee Wassira akiwa ndiye mratibu wa ilani ya chama.

Wanaojua zaidi naomba maoni yenu ili hatimaye tujue tunaisukumaje serikali ili wananchi wote wapate bima ya afya.

Maendeleo hayana vyama!
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Bima ya afya kwa wote ni hitaji muhimu. Sidhani kama inatusaidia kujua ni sera ya chama hiki au kile! Tunahitaji hiyo huduma bila kujsli itikadi
 
Kuna baadhi ya makamanda wameniambia sera ya Bima ya Afya kwa Wote ni ya Chadema na kwamba Hayati Magufuli aliikopa kutoka Ufipa akaitia kwenye Ilani ya uchaguzi ya CCM.

Mimi naamini hii ni sera ya CCM na imekuwepo tangia mzee Wassira akiwa ndiye mratibu wa ilani ya chama.

Wanaojua zaidi naomba maoni yenu ili hatimaye tujue tunaisukumaje serikali ili wananchi wote wapate bima ya afya.

Maendeleo hayana vyama!
Sasa kama unajua unaulizia nini? Mnafiq mkubwa wewe
 
Back
Top Bottom