johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,667
Kuna baadhi ya makamanda wameniambia sera ya Bima ya Afya kwa Wote ni ya Chadema na kwamba Hayati Magufuli aliikopa kutoka Ufipa akaitia kwenye Ilani ya uchaguzi ya CCM.
Mimi naamini hii ni sera ya CCM na imekuwepo tangia mzee Wassira akiwa ndiye mratibu wa ilani ya chama.
Wanaojua zaidi naomba maoni yenu ili hatimaye tujue tunaisukumaje serikali ili wananchi wote wapate bima ya afya.
Maendeleo hayana vyama!
Mimi naamini hii ni sera ya CCM na imekuwepo tangia mzee Wassira akiwa ndiye mratibu wa ilani ya chama.
Wanaojua zaidi naomba maoni yenu ili hatimaye tujue tunaisukumaje serikali ili wananchi wote wapate bima ya afya.
Maendeleo hayana vyama!