Habari JF,
Poleni vijana wenzangu na majukumu ya kila siku
Nimeleta tujadili uzi huu kila mtu kutokana na jinsi anavyojua kwenye sala kupata kazi
Nimeona baadhi ya makampuni mengi, hata kampuni niliyoajiriwa binafsi ikitokea kuna uhitaji wa kumuajiri mtu, kwanza inatangazwa mule kwa wafanyakazi wa ndani na Board of Directors kuwa kuna vacant ya nafasi Xx
Hivyo basi kama kuna mtu anaweza akafahamu wa kujaza nafasi hiyo atuletee cv yake
Kinachotokea hapo zile cv zinazowasilishwa na wafanyakazi na Board of Directors ndio zinapewa uzito wa hali ya juu, na ikiwa zimewasilishwa nyingi Basi hawatoki hata nje kutangaza hizo nafasi
Kwa makampuni mengine hauoni nafasi kutangazwa ila unaona tu tayari mtu amesha ajiriwa, hii mchakato wake unakua ni ule ule wa kujuana
Haya Basi kuna wafanyakazi huwa wanaitwa "Kamleteni" wafanyakazi Hawa ni wale ambao wana connection ya karibu na aliye recommend aajiriwe hapo ambaye huyo aliye recommend au referee wake ana mahusiano ya karibu sana na kampuni hiyo
Hawa "Kamleteni" huwa wanapata promotion kwa haraka sana ijapojuwa mnaweza mkalingana nae au kumzidi kwenye annual evaluation hata kwenye salary increment "Kamleteni" huwa wanapata percent kubwa ya salary increment tofauti na wa kawaida
Nini Kifanyike Ikiwa huna Connection au huna wa kukuunganisha na Kamleteni
1. Pitisha Sana Cv zako kwa hawa recruitment agencies maana wao kama una sifa stahili, wana kuunganisha na wateja wao
2. Pitia pia Utumishi
3. Tengeneza connections na meneja, HR na waajiri
Labda mungu asaidie na afanye wepesi unaweza pata kazi ila bila hivyo utajikuta unaomba kazi hata mara mia mbili na wala usiitwe hata kwenye interview
Karibuni kwa maoni wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni vijana wenzangu na majukumu ya kila siku
Nimeleta tujadili uzi huu kila mtu kutokana na jinsi anavyojua kwenye sala kupata kazi
Nimeona baadhi ya makampuni mengi, hata kampuni niliyoajiriwa binafsi ikitokea kuna uhitaji wa kumuajiri mtu, kwanza inatangazwa mule kwa wafanyakazi wa ndani na Board of Directors kuwa kuna vacant ya nafasi Xx
Hivyo basi kama kuna mtu anaweza akafahamu wa kujaza nafasi hiyo atuletee cv yake
Kinachotokea hapo zile cv zinazowasilishwa na wafanyakazi na Board of Directors ndio zinapewa uzito wa hali ya juu, na ikiwa zimewasilishwa nyingi Basi hawatoki hata nje kutangaza hizo nafasi
Kwa makampuni mengine hauoni nafasi kutangazwa ila unaona tu tayari mtu amesha ajiriwa, hii mchakato wake unakua ni ule ule wa kujuana
Haya Basi kuna wafanyakazi huwa wanaitwa "Kamleteni" wafanyakazi Hawa ni wale ambao wana connection ya karibu na aliye recommend aajiriwe hapo ambaye huyo aliye recommend au referee wake ana mahusiano ya karibu sana na kampuni hiyo
Hawa "Kamleteni" huwa wanapata promotion kwa haraka sana ijapojuwa mnaweza mkalingana nae au kumzidi kwenye annual evaluation hata kwenye salary increment "Kamleteni" huwa wanapata percent kubwa ya salary increment tofauti na wa kawaida
Nini Kifanyike Ikiwa huna Connection au huna wa kukuunganisha na Kamleteni
1. Pitisha Sana Cv zako kwa hawa recruitment agencies maana wao kama una sifa stahili, wana kuunganisha na wateja wao
2. Pitia pia Utumishi
3. Tengeneza connections na meneja, HR na waajiri
Labda mungu asaidie na afanye wepesi unaweza pata kazi ila bila hivyo utajikuta unaomba kazi hata mara mia mbili na wala usiitwe hata kwenye interview
Karibuni kwa maoni wadau
Sent using Jamii Forums mobile app