Nimeona nije na hili wadau wenzangu, dunia inaelewa malengo na mahitaji ya Russia kwa nchi ya Ukraine yapo wazi sana swali ni kwanini amebaki mpakani???
Sasa takriban mwezi., NATO wamekuwa wa wazi sana na hawapepesi kauli zao ni kwamba wanasubiri Russia waivamie Ukraine ndio na wao lile lengo lao litatimia kwa nilivyofahamu mimi.
Lakini kuna maswali najiuliza hasa kwa Russia., Ivi baada ya Marekani na NATO kuwahi kuingia Ukraine ki-ulinzi na kuwa tayari kujibu mara Urusi ikivamia Ukraine Na hata jana Biden amesema watajibu thabiti kama Russia akijaribu kuvamia tu- Ivi Russia ndio imekuwa na hofu kubwa kukamilisha adhma yake?
Tuseme ni sahihi kusema Russia analiogopa Jeshi la NATO lakini na Marekani licha ya majivuno mbali mbali ya Putini? mara nyingi nikiangalia Televisheni CNN naona bado Russia wanailalamikia Marekani kutokuwa tayari kwa mazungumzo,
Na Kremlin mara kadhaa namsikia akisema hawana nia ya kuvamia Ukraine ivi ni kwanini hasa kauli hizi? Kuna nini nyuma ya Pazia la Russia?
Kama hawana nia ya kuvamia wao wanafanya nini mpakani mwa Ukraine? au Tuseme wanalinda mpaka wao tu.
Earlier Russia walisema ni vita vita vita tu lakini kwa nini wamebaki mpakani wansubiri nini?
Nafkiri wadau hemu tujikiteni hapa kidogo tupate dondoo zenu katika hili
Sasa takriban mwezi., NATO wamekuwa wa wazi sana na hawapepesi kauli zao ni kwamba wanasubiri Russia waivamie Ukraine ndio na wao lile lengo lao litatimia kwa nilivyofahamu mimi.
Lakini kuna maswali najiuliza hasa kwa Russia., Ivi baada ya Marekani na NATO kuwahi kuingia Ukraine ki-ulinzi na kuwa tayari kujibu mara Urusi ikivamia Ukraine Na hata jana Biden amesema watajibu thabiti kama Russia akijaribu kuvamia tu- Ivi Russia ndio imekuwa na hofu kubwa kukamilisha adhma yake?
Tuseme ni sahihi kusema Russia analiogopa Jeshi la NATO lakini na Marekani licha ya majivuno mbali mbali ya Putini? mara nyingi nikiangalia Televisheni CNN naona bado Russia wanailalamikia Marekani kutokuwa tayari kwa mazungumzo,
Na Kremlin mara kadhaa namsikia akisema hawana nia ya kuvamia Ukraine ivi ni kwanini hasa kauli hizi? Kuna nini nyuma ya Pazia la Russia?
Kama hawana nia ya kuvamia wao wanafanya nini mpakani mwa Ukraine? au Tuseme wanalinda mpaka wao tu.
Earlier Russia walisema ni vita vita vita tu lakini kwa nini wamebaki mpakani wansubiri nini?
Nafkiri wadau hemu tujikiteni hapa kidogo tupate dondoo zenu katika hili