Pia Moshi nikimaanisha Kilimanjaro ingekuwa nchi kama siyo udhalimu na wivu wa Julius Kambarage Nyerere.
Ni kweli babaangu watu wanachanga?? wanachanganya kweli.....hivi uru ipo sehemu gani kati ya hizo wilaya?
uru ipo moshi...kuanzia stendi kuu na kuendelea hadi kcmc na katika yale mashamba ya kahawa ya usagara