GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,061
- 107,544
Kuna uwezekano mkubwa Kijana na Mwanasiasa Machachari nchini Uganda Robert Kyagulanyi ( alias ) Boby Wine akawa ana Ndugu yake wa Damu kabisa huku Tanzania aitwae Maxence Melo ila bado hajafahamishwa tu. Ukiwaangalia hawa Wawili wala hutopata shida kuhisi kuwa huenda wakawa ni Ndugu kabisa kwani wamefanana Kunakotukuka Sura zao. Mtani kamchukue Nduguyo Uganda.