Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,038
- 24,595
Hata yule RPC ambaye alijitahidi sana ku stabilise ya kule naye alirudishwa makao makuu. Anyway, tukubaliane kutokubalianaHakuna kitu kama hicho mkuu,kwamba kisena hakumpiga OCD na RPC alikua miss-quoted?
Unajua baada ya hilo saga huyo OCD alifanywaje?