The August
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 1,080
- 2,024
Hapana kisena amesoma. Sbb hata kipindi yuko Nyanza, alikuwa kama middleman wa waganda na nyanza. Na alikuwa anawa over invoice sana wale jamaa
Ni ngosha mjanja mjanja tatizo shule hana.Raha ya kuwa mjanja mjanja ni kuwa na shule pia kama mzee baba Chenge.