Hivi ripoti kamili za uchunguzi wa makinikia zimewahi kutolewa hadharani?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Wote tunatambua kuwa zilliundwa kamati mbili tofauti moja ikiongozwa na Prof.Mruma na nyingine ikiongozwa na Prof.Ossoro zote zikuhusiana na swala zima la makinikia na kila kamati ikaja na taarifa yake ambayo iliyopelekea wajumbe wa kamati husika kupewa nishani kwa kazi nzuri na ya kutukuka walioifanya.

Swali langu ni je, full reports za uchunguzi zimewahi kutolewa kwa umma(walipa kodi )?

Hata soft copy zipo?

Na kama haziwahi kutolewa ni kwanini?

Waheshimiwa wabunge nyinyi kama wawakilishi wetu, muulizeni waziri mkuu Bungeni ni kwanini ripoti hizi watanzania hatupatiwi hata kwa kutuuuzia.

Natumai Lissu akirudi Bungeni atahoji jambo hili wengine wote tumeshasau.
 
Wote tunatambua kuwa zilliundwa kamati mbili tofauti moja ikiongozwa na Prof.Mruma na nyingine ikiongozwa na Prof.Ossoro zote zikuhusiana na swala zima la makinikia na kila kamati ikaja na taarifa yake ambayo iliyopelekea wajumbe wa kamati husika kupewa nishani kwa kazi nzuri na ya kutukuka walioifanya.

Swali langu ni je, full reports za uchunguzi zimewahi kutolewa kwa umma(walipa kodi )?

Hata soft copy zipo?

Na kama haziwahi kutolewa ni kwanini?

Waheshimiwa wabunge nyinyi kama wawakilishi wetu, muulizeni waziri mkuu Bungeni ni kwanini ripoti hizi watanzania hatupatiwi hata kwa kutuuuzia.

Natumai Lissu akirudi Bungeni atahoji jambo hili wengine wote tumeshasau.
Daaah!!!! Umenikumbusha NOAH yangu bado naisubiri, na wanaume wa barrick sijui lini watatuletea ile bil700 yetu
 
Zile ripoti za kutengenezwa kwa maelekezo na siyo kwa utafiti, kamwe hazitakuja kutolewa hadharani, labda mpaka atakapoondoka huyu wa sasa. Na kuondoka siyo 2020 wala 2025, kwa mzungumzo ya chini ya carpet anasema anahitaji miaka 20 tu ili aweze kuinyosha na kuibadilisha hii jamii.
 
Wote tunatambua kuwa zilliundwa kamati mbili tofauti moja ikiongozwa na Prof.Mruma na nyingine ikiongozwa na Prof.Ossoro zote zikuhusiana na swala zima la makinikia na kila kamati ikaja na taarifa yake ambayo iliyopelekea wajumbe wa kamati husika kupewa nishani kwa kazi nzuri na ya kutukuka walioifanya.

Swali langu ni je, full reports za uchunguzi zimewahi kutolewa kwa umma(walipa kodi )?

Hata soft copy zipo?

Na kama haziwahi kutolewa ni kwanini?

Waheshimiwa wabunge nyinyi kama wawakilishi wetu, muulizeni waziri mkuu Bungeni ni kwanini ripoti hizi watanzania hatupatiwi hata kwa kutuuuzia.

Natumai Lissu akirudi Bungeni atahoji jambo hili wengine wote tumeshasau.
Sio tuu hazijawahi kutolewa hadharani, hata watuhumiwa hawajawahi kutumiwa copy, hata ile bili ya US $ Bilioni 98 wameigomea wakiitaka serikali yetu I justify!.

Mimi naendelea kusisitiza, ili nchi yetu ipate maendeleo ya kweli, tunahitaji systems in place na strategic objectives ambazo ziko SMART!, na sio hizi sanaa za maonyesho na mahuburi ya maendeleo hewa!.
Kupata Maendeleo ya Kweli, Tanzania Inahitaji Systems Not Dramas, Ze Comedy na One Man Shows!.
P
 
Sio tuu hazijawahi kutolewa hadharani, hata watuhumiwa hawajawahi kutumiwa copy, hata ile bili ya US $ Bilioni 98 wameigomea wakiitaka serikali yetu I justify!.

Mimi naendelea kusisitiza, ili nchi yetu ipate maendeleo ya kweli, tunahitaji systems in place na strategic objectives ambazo ziko SMART!, na sio hizi sanaa za maonyesho na mahuburi ya maendeleo hewa!.
Kupata Maendeleo ya Kweli, Tanzania Inahitaji Systems Not Dramas, Ze Comedy na One Man Shows!.
P
asante kwa maoni mkuu.Kama mwanahabari mchunguzi huwezi kutusaidia hili. Binafsi niliisubiri kwa hamu ili niupdate uzalendo wangu maana kama sikosei tuliahidiwa. Tangu ukimya ule sifuatili tena lolote kuhsu madini hadi nione mwisho wa lile sakata la kwanza litaishaje.
 
Sio tuu hazijawahi kutolewa hadharani, hata watuhumiwa hawajawahi kutumiwa copy, hata ile bili ya US $ Bilioni 98 wameigomea wakiitaka serikali yetu I justify!.

Mimi naendelea kusisitiza, ili nchi yetu ipate maendeleo ya kweli, tunahitaji systems in place na strategic objectives ambazo ziko SMART!, na sio hizi sanaa za maonyesho na mahuburi ya maendeleo hewa!.
Kupata Maendeleo ya Kweli, Tanzania Inahitaji Systems Not Dramas, Ze Comedy na One Man Shows!.
P
Na bahati mbaya zaidi watanzania jambo likipita ndio limepita watu wala hawajoji tena.

Awamu hii tuna hasara tena kubwa sana.
 
Sio tuu hazijawahi kutolewa hadharani, hata watuhumiwa hawajawahi kutumiwa copy, hata ile bili ya US $ Bilioni 98 wameigomea wakiitaka serikali yetu I justify!.

Mimi naendelea kusisitiza, ili nchi yetu ipate maendeleo ya kweli, tunahitaji systems in place na strategic objectives ambazo ziko SMART!, na sio hizi sanaa za maonyesho na mahuburi ya maendeleo hewa!.
Kupata Maendeleo ya Kweli, Tanzania Inahitaji Systems Not Dramas, Ze Comedy na One Man Shows!.
P
Sasa mkuu kama mpaka wanaingia kwenye majadiliano walikuwa hawajapewa hiyo copy, haya majadiliano walikuwa wanayafanyaje kama watuhumiwa hawakuwa na full reports?

Ilikuwaje hawa wazungu nao wakakubali kukaa miezi yote ile na kujadili jambo ambalo hawana full report ya namna uchunguzi ulivyofanywa?

Au walipewa kwa makubaliaono iwe ni siri?

Je, wazungu wale wanaowajibika kwa wanahisa wao kweli wangekubali shariti la aina hii?

Ni wazi haya mazungumzo yana siri nzito sana ila ipo siku ukweli utajulikana.
 
Na bahati mbaya zaidi watanzania jambo likipita ndio limepita watu wala hawajoji tena.

Awamu hii tuna hasara tena kubwa sana.
Tanzania ni kizazi cha kuambiwa, kusikiliza, kupiga makofi, na kusubiri kuambiwa tena.

Ile siku wanasaini makubaliano, Rais Magufuli anasema lake na kushangilia ahadi ya Dola.milioni 300 za goodwill, Prof. Kabudi anasema wamekubali kutupa 16% stake, plus 50% profits plus taxes total is around 75%!.

Kwenye website yao wamesema tutagawana sio profits, bali ni economic benefits 50/50. Ndani ya hiyo 50% the 16% stake and all taxes inclusive!.

Na kwenye ile dola milioni 300, wanajumlisha madeni yote ya tax refund ambayo ni zaidi ya million 200!, hivyo hakuna dola milioni 300 yoyote ambayo tutalipwa!.

P.
 
Tanzania ni kizazi cha kuambiwa, kusikiliza, kupiga makofi, na kusubiri kuambiwa tena.

Ile siku wanasaini makubaliano, Rais Magufuli anasema lake na kushangilia ahadi ya Dola.milioni 300 za goodwill, Prof. Kabudi anasema wamekubali kutupa 16% stake, plus 50% profits plus taxes total is around 75%!.

Kwenye website yao wamesema tutagawana sio profits, bali ni economic benefits 50/50. Ndani ya hiyo 50% the 16% stake and all taxes inclusive!.

Na kwenye ile dola milioni 300, wanajumlisha madeni yote ya tax refund ambayo ni zaidi ya million 200!, hivyo hakuna dola milioni 300 yoyote ambayo tutalipwa!.

P.
Drama is a drama
 
Tanzania ni kizazi cha kuambiwa, kusikiliza, kupiga makofi, na kusubiri kuambiwa tena.

Ile siku wanasaini makubaliano, Rais Magufuli anasema lake na kushangilia ahadi ya Dola.milioni 300 za goodwill, Prof. Kabudi anasema wamekubali kutupa 16% stake, plus 50% profits plus taxes total is around 75%!.

Kwenye website yao wamesema tutagawana sio profits, bali ni economic benefits 50/50. Ndani ya hiyo 50% the 16% stake and all taxes inclusive!.

Na kwenye ile dola milioni 300, wanajumlisha madeni yote ya tax refund ambayo ni zaidi ya million 200!, hivyo hakuna dola milioni 300 yoyote ambayo tutalipwa!.

P.
Tumegezwa mazwazwa na hawa bwana wakubwa na hakika wanatuswaga wapendavyo!
 
Sio tuu hazijawahi kutolewa hadharani, hata watuhumiwa hawajawahi kutumiwa copy, hata ile bili ya US $ Bilioni 98 wameigomea wakiitaka serikali yetu I justify!.

Mimi naendelea kusisitiza, ili nchi yetu ipate maendeleo ya kweli, tunahitaji systems in place na strategic objectives ambazo ziko SMART!, na sio hizi sanaa za maonyesho na mahuburi ya maendeleo hewa!.
Kupata Maendeleo ya Kweli, Tanzania Inahitaji Systems Not Dramas, Ze Comedy na One Man Shows!.
P
Huu udhaifu wa Media houses zetu tuna wanahabari wanaoangaika habari zA umbeya kuliko habari zenye tija kwa Taifa
 
Sasa mkuu kama mpaka wanaingia kwenye majadiliano walikuwa hawajapewa hiyo copy, haya majadiliano walikuwa wanayafanyaje kama watuhumiwa hawakuwa na full reports?

Ilikuwaje hawa wazungu nao wakakubali kukaa miezi yote ile na kujadili jambo ambalo hawana full report ya namna uchunguzi ulivyofanywa?

Au walipewa kwa makubaliaono iwe ni siri?

Je, wazungu wale wanaowajibika kwa wanahisa wao kweli wangekubali shariti la aina hii?

Ni wazi haya mazungumzo yana siri nzito sana ila ipo siku ukweli utajulikana.
Hapa kuna vitu viwili tofauti, majadiliano ni serikali na Barrick ambaye ni mmiliki wa Acacia. Mdeni wetu ni Acacia na sio Barrick, anayedaiwa ni Acacia mpaka leo hajapewa zile ripoti ila amekubali makubaliano hayo.
Kwenye website yao wamepinga kila tunachowadai!.

Ndio maana niliwahi kuuliza, hiyo ahadi ya hicho kishika uchumba cha dola million 300 ni za nini?.

Dola milioni 300, siku 90, sentano kipande haijalipwa! acacia inakula hasara, has no capacity to pay! Tumedanganywa?.
P
 
Yaani jambo likipia ndio limepita si kwa wanahabari, wabunge na sisi wananchi!
Mr salary Slip Duniani kote wanahabari wanafanya kazi kwa niaba ya wananchi.
Tatizo hapa kwetu wanahabari hawana agenda yoyote kwa Wananchi wako busy kutafuta bahasha za kaki.
Wenye bahasha hata Kama wana taarifa ya ovyo ndiyo itakayopewa kipaumbele.
 
Hapa kuna vitu viwili tofauti, majadiliano ni serikali na Barrick ambaye ni mmiliki wa Acacia. Mdeni wetu ni Acacia na sio Barrick, anayedaiwa ni Acacia mpaka leo hajapewa zile ripoti ila amekubali makubaliano hayo.
Kwenye website yao wamepinga kila tunachowadai!.

Ndio maana niliwahi kuuliza, hiyo ahadi ya hicho kishika uchumba cha dola million 300 ni za nini?.

Dola milioni 300, siku 90, sentano kipande haijalipwa! acacia inakula hasara, has no capacity to pay! Tumedanganywa?.
P
Bunge ndio lilipaswa kuisimamia serikali na kuhoji mambo yote haya kwa niaba ya wananchi ila ndio kwanza ni kama hatuna Bunge.

Wacha tusubiri mjadala wa Bajeti ya wizara ya madini labda wabunge watahoji ila sitashangaa watakaohoji wakapewa majibu mepesi na kuambiwa mjadala umefungwa.
 
Back
Top Bottom