Dong Jin
JF-Expert Member
- Jun 4, 2018
- 754
- 1,442
Kuna wapuuzi humu hawajawahi hata kuwa waajiliwa afu wakawa na side businesses ambazo wanazisimamia full... Ndo maana utasikia wakipiga domo kuhusu rayvanny kusalia wasafi...
Nyie mtakuwa hamjui raha ya kuwa na ajira huku una biashara yako...
Nawashauri siku mkae na walimu wanaomiliki maduka/migahawa au wale madaktari wanaokesha hospitali huku wana vituo vyao binafsi vya afya/pharmacy
Hakuna msanii anayejielewa na anayetaka kufika mbali asiyekuwa chini ya lebo... Na msanii kuwa na lebo yako ni lazima ukubali kuhatarisha kazi zako za kimuziki ili waliopo chini yako waweze kutoka kupitia ww... Mwangalie don jazzy na marvin yake
Nyie mtakuwa hamjui raha ya kuwa na ajira huku una biashara yako...
Nawashauri siku mkae na walimu wanaomiliki maduka/migahawa au wale madaktari wanaokesha hospitali huku wana vituo vyao binafsi vya afya/pharmacy
Hakuna msanii anayejielewa na anayetaka kufika mbali asiyekuwa chini ya lebo... Na msanii kuwa na lebo yako ni lazima ukubali kuhatarisha kazi zako za kimuziki ili waliopo chini yako waweze kutoka kupitia ww... Mwangalie don jazzy na marvin yake