Kila tetesi tunazosikia kumuhusu Rostam zinatimia ina maana ana nguvu gani hata M/kiti wa CCM hapingi na CC ya CCM wanafuata maamuzi yake.Huyu mtu ni nani hasa kwani maamuzi ya CCM na Serikali yanaonekana kuwa na shinikizo lake,sasa uchaguzi wa nini?