Ngushi
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 9,069
- 18,347
Wakuu, Leo katika pitapita zangu huko you tube nimekutana na video ya msanii Rama dee inaitwa - Kipenda roho
Aisee ni bonge moja ya rnb song
Kinacho nishangaza ni kwanini haikupewa na mpaka sasa haipewi air time ya kutosha kama video nyingine?
Basi hata ile kuzungumziwa kwenye social network sijawahi kusikia!
Tatizo nini kwa msanii huyu?
Nimeshindwa tu kuweka link ya hiyo video hapa ila ni mziki mzuri sana.
Video nzuri unaitazama mpaka nerve sinasisimuka nikakahisi JOE THOMAS amehamia bongo!!
Ndio kitu kilichonisukuma kuuliza huyu mtu aliwakosea nini watanzania? Kama yupo humu awaombe radhi aliowakosea video nzuri kama
ile haikufaa kuishia pale!!
Karibuni tujadili na maoni vilevile yanaruhusiwa huenda yatamfikia
Aisee ni bonge moja ya rnb song
Kinacho nishangaza ni kwanini haikupewa na mpaka sasa haipewi air time ya kutosha kama video nyingine?
Basi hata ile kuzungumziwa kwenye social network sijawahi kusikia!
Tatizo nini kwa msanii huyu?
Nimeshindwa tu kuweka link ya hiyo video hapa ila ni mziki mzuri sana.
Video nzuri unaitazama mpaka nerve sinasisimuka nikakahisi JOE THOMAS amehamia bongo!!
Ndio kitu kilichonisukuma kuuliza huyu mtu aliwakosea nini watanzania? Kama yupo humu awaombe radhi aliowakosea video nzuri kama
ile haikufaa kuishia pale!!
Karibuni tujadili na maoni vilevile yanaruhusiwa huenda yatamfikia