Hivi Rais wetu amemkosea nini Mungu? Kila kukicha lawama tuuu...hamchoki?!!!

Maisha bora hayatakuja kwa kukaa na kulaumu kila siku. Jakaya Kikwete hawezi kuleta maisha bora sebuleni kwenu bila ya nyie kujituma na kufanya kazi kwa bidii. Yeye kama kiongozi mkuu wa nchi ameweza kutuhamasisha ili tufanye kazi. Maisha bora hayatakuja kwa kufanya maandamano kila siku. Vijana wengi wanalalamika kwamba hawana kazi ama wanataka kazi za ofisini. Kuna kazi nyingi sana mashambani, tuna ardhi ya kutosha kabisa kufanya kilimo na serikali imetangaza suala la kilimo kwanza kwa maana kwamba serikali iko tayari kuwawezesha vijana katika suala hilo.

Tuache kumlaumu Jakaya Kikwete kwa kila jambo, ni hekima tukubali kuacha tabia ya uvivu na majungu.


kuna dokta mmoja alikuwa mkuu wa mkoa morogoro alikuwa anatoa ushauri kama huu ukuu ukuu wa mkoa ulipoisha hakwenda kulima bali aliuliza jamii alicho mkosea rais badala yakwenda kulima kama alivyokuwa anawashauri wengine
 
Tafakari, chukua hatua. Lawama zenu kwa kiongozi mkuu wa nchi haziwafikishi popote. Nawashauri mtubu kwa Mungu wenu, muombe kwa ajili ya nchi yetu na kufanya shughuli za maendeleo kwa bidii.

Too much blaming towards the president is nonsence, we are here because we are here and not because the president brought us here. By the way, he found us here and if we don't change, he will leave us where he found us, 'here'!!
Kwani mtu akimkosea Mungu ndiyo analaumiwa kila siku?
 
Alisema anataka watu waishi kama mashetan sasa ndio apambane na mashetani alio watengeneza
 
Huyu c ndie malaika isabuni namba kwanza baadae miaka mitano ndio utajua kama ni malaika au jpm ibilisi alie letwa kuja hesabu namba
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom