Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Una uhakika gani Lunyungu hapo alikuwa hatumii pesa za serikali? Pesa za walalahoi? Unaweza kuta Lunyungu ni mbunge kwahiyo anatumia pesa tunazomlipa walalahoi.
Naona wewe unajua mengi zaidi yangu kuhusu id ya Lunyungu