hizi garbage mnazofikiria njaa zenu ni matokeo ya wahindi ni ujinga wa hali ya juu and only ignorants kama nyie ndio mnaoamini hivyo,matatizo yote yanayowafanya biashara/shughuli zenu za maendeleo zenu zisifanyike kama TRA,umeme,foleni,bandarini,rushwa,elimu,mikopo etc zinasababishwa na weusi wenzenu waliojaa huko maofisini ambao ni lazies kama nyie wasiofanya kazi zao wamekalia kula rushwa tuu huko maofisini,hao wahindi wana play na system hiyo hiyo ambayo nyie ndio mmeiweka na kuiongoza,kila rushwa ina mtoa/mpokea rushwa,nani mpokea rushwa 100% kama sio weusi wenzenu wanao run system?mnamlaumu Rostam kila siku na Richmond lakini waliotafuna pesa tena prime minister wameshakimbia kwa aibu na hakuna kila kafanywa zaidi ya kuchaguliwa ubunge tena,huyo Rostam kakataa hajahusika na hajaiba chochote na kasema waziwazi apelekwe mahakamani kama mnafikiri kaiba,sasa mnasubiri nini? mmebakia wahindi wabaya,wakamateni basi kama wanakula rushwa sio kelele tuu,mmetoa tenda za barabara kwa matapeli matokeo yake foleni zinaongezeka,fake investors wana root migodi bila kulipa chochote kwa ajiri ya incompetence & corruption ya maofisa weusi wenzenu,nenda TRA au bandarini ndio balaa maana hata amount ya kulipa huwezi kuambiwa lazima wakuibie kwanza,polisi wanapiga watu bila sababu..yote hayo ni wahindi!!!
kwa taarifa yako-iddi amini aliwasaidia waganda kuliko wwe unavyojua...alifaulu nini zadi ya kuua uchumi wote wa nchi yake,na sijui hata kama unaelewa unachoandika.
Na Rwanda waliowafyeka milioni 1 kwa miezi mitatu ndio werevu? Mtazeeka mnazulula duni nzima.
kwa taarifa yako-iddi amini aliwasaidia waganda kuliko wwe unavyojua
cha ajabu hata neno la kiswahili zaid ya JAMBO hawafahamu-wao ni kihindi na kingereza kwa mbaliNdo walomuweka madarakani so analipa fadhila!
wahindi ndo wanaendesha uchumi wa nchi hii kama hujui muulize rostam akwambie ana miradi mingapi watanzania wanaenda choo
Unakumbuka ugomvi wa IDD SIMBA na MKAPA kuhusu UZAWA?
Unakumbuka ugomvi wa IDD SIMBA na MKAPA kuhusu UZAWA?