Tumbiliwaulaya
JF-Expert Member
- Nov 22, 2020
- 280
- 435
We nae endelea kulima majaruba ya mpunga kama unavyo sema,uwezekano wa kuchezea tope na kuibuka na mfadhaiko wa akili ni mkubwa sana,na ndio maana sikushangai kuandika hivyo.Eti mtu unang'ang'aninia kwamba una tatizo!
Nampa pongezi biti Hassan(shikamoo) popote pale alipo.Baada ya kuona wanamtilia kelele akatangaza anaunda kamati ichunguze kama ipo au haipo...
1. ATC wamesimamisha safari za kwenda India
2. Muongozo uliotolewa na wizara ya afya,na kwamba vituo vya karantini vimefunguliwa hujasikia?
3. Mama anavaa barakoa mwenda zake ulimuona hata siku moja?
Ni kweli kwamba binaadamu akizoezwa jambo hana tofauti na mnyama atalidai hata kama ni baya,kwa hiyo wewe kudai kuendelea kudanganywa ni taathira ya muda mrefu.