[h=6]
Nimefikiri mara mbili kuwa kuna watu wanampongeza Raisi kwa kuvunja/kukusudia kuvunja baraza mawaziri. Pia wengine wakipongeza wabunge wa CCM waliosimama kutetea raslimali za nchi nikiwemo mimi mwenyewe. Lakini nimegundua kuwa nimeafanya makosa makubwa, kwani kufanya hivyo ni sawa na " kumsifu mtu aliyegundua kuwa ndani ya mavazi yake kulikuwa na Chawa" ili hali usafi ulikuwa ni wajibu wake. Na kupatikana na chawa si taarifa ya kupongezana bali ya ni taarifa ya kudharauliwa na kushutumiwa.
kwani huo Ufisadi kama chawa umeapatikana ndani ya mavazi ya CCM ambapo hao wabunge na Raisi wamo humohumo. Ili hali hawa hawa wabunge husema CCM ni Chama madhubuti Haya uchafu/chawa umepatikana ndani ya mavazi yao je wanapaswa kupewa pongezi kwa kuona chawa/uchafu katika vazi lao CCM na hasa ikizigatiwa uchafu/chawa ndani ya CCM ni desturi/utamaduni uliojengeka na kuota mizizi toka zaman[/h]
Nimefikiri mara mbili kuwa kuna watu wanampongeza Raisi kwa kuvunja/kukusudia kuvunja baraza mawaziri. Pia wengine wakipongeza wabunge wa CCM waliosimama kutetea raslimali za nchi nikiwemo mimi mwenyewe. Lakini nimegundua kuwa nimeafanya makosa makubwa, kwani kufanya hivyo ni sawa na " kumsifu mtu aliyegundua kuwa ndani ya mavazi yake kulikuwa na Chawa" ili hali usafi ulikuwa ni wajibu wake. Na kupatikana na chawa si taarifa ya kupongezana bali ya ni taarifa ya kudharauliwa na kushutumiwa.
kwani huo Ufisadi kama chawa umeapatikana ndani ya mavazi ya CCM ambapo hao wabunge na Raisi wamo humohumo. Ili hali hawa hawa wabunge husema CCM ni Chama madhubuti Haya uchafu/chawa umepatikana ndani ya mavazi yao je wanapaswa kupewa pongezi kwa kuona chawa/uchafu katika vazi lao CCM na hasa ikizigatiwa uchafu/chawa ndani ya CCM ni desturi/utamaduni uliojengeka na kuota mizizi toka zaman[/h]