Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,480
- 30,152
- Thread starter
- #21
Si ndio ahadi za wagombea za watatufanyia nini tukiwapa uongozi? Na baada ya miaka mitano tutawauliza kama wametimiza ahadi zao? Ndio ujue ahadi zozote zinazotolewa ni HONGO takatifu ili tupate mchecheto tuwachague. Hongo mbaya haiahidiwi, inatolewa papo kwa papo unapoitoa kama mgombea😂😂
Hongereni sana wanaChadema kwa kuwa na msimamo huo wa ki-Mandela!
Pamoja na kupitia mateso makubwa sana, chini ya utawala huu wa awamu ya 5, lakini mmetoa msimamo wenu kuwa iwapo wananchi watawapa ridhaa ya kuongoza nchi hii kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu, hamtalipiza kisasi kabisa!