Hivi Rais Magufuli atahutubia Taifa kesho wakati tunaufunga mwaka?

Mystery

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
15,478
30,140
Imekuwa ni jambo la kawaida sana tokea enzi za utawala wa awamu ya kwanza ya Mwalimu Nyerere, na awamu zilizofuatia za Mzee Mwinyi, Benjamin Mkapa na hatimaye Jakaya Kikwete, kuitumia siku ya mwisho wa mwaka kutoa hotuba kupitia vyombo vya habari kuelezea mafanikio ya utawala wa wakati huo.

Sasa kwa kuwa tumeingia utawala wa awamu ya 5 ambao ni utawala uliojipambanua kuwa ni utawala wa HAPA KAZI TU, utawala wenye kupambana na ufisadi,utawala wenye kubana matumizi, utawala wenye kuhakikisha kuwa unakusanya kodi to the maximum point na ni utawala ambao kama kiongozi wetu Mkuu Rais Magufuli alivyowahi kusema kuwa unataka watu waliokuwa wakiishi kama Malaika waishi kama mashetani.............

Sasa watanzania wote kwa ujumla wetu, tunayo kiu kubwa ya kumsikia Kiongozi wetu Mkuu, Rais Magufuli akilihutubia Taifa hapo kesho kwa kutumia vyombo mbalimbali vya habari vya kitaifa, akitufafanulia namna sera zake za awamu ya 5 zilivyopata mafanikio makubwa katika mwaka wake wa kwanza tu wa uongozi wake na namna wananchi kwa ujumla wetu tulivyoingia kwenye maisha ya neema kubwa na kufaidika na rasilimali za nchi yetu zilizokua zikitafunwa na kikundi kidogo cha watu ambao wanapaswa kuburuzwa kwenye mahakama maalum za mafisadi.

Kwa hiyo sisi wananchi tunaisubiri kwa hamu kubwa hotuba hiyo ya kiongozi wetu Mkuu Rais Magufuli kwa Taifa hili hapo kesho ambayo ninaamini atakapoitoa itaweza kusuuza roho zetu na kukata kiu za wananchi wanyonge wa nchi hii na kukata 'ngebe' za wapinzani!

Mungu ibariki Tanzania
 
Maelezo ya uzi wako nimesoma aya ya kwanza tu, nakujibu kutokana na heading yako.

Asihutubie hizo hela za kurusha kipindi akanunulie antidote za nyoka ndugu zetu wa vijijini wasitozwe laki saba na nusu kwa antidote.

Au itoke taarifa ya kutuambia kua mazingira yaliyojengwa yamevutia wawekezaji na 2017 wanakuja kuanzisha viwanda, na ajira zitakuepo kufikia January 2017.

Na mahakama ya mafisadi imepata kesi.
 
Siyo lazima
Lakini Mkuu, watanzania tuliomweka madarakani ndiyo tuna hamu ya kumsikia Kiongozi wetu Mkuu akilihutubia Taifa kupitia vyombo mbalimbali vya habari.

Sasa kwa nini wewe umkingie kifua na kusema siyo lazima alihutubie Taifa?
 
Hebu waulize Clouds kama Mkuu kasha order airtime kesho.
Hatuhitaji ahutubie kwenye chombo kimoja cha habari.

Kutokana na umuhimu wa hotuba ya Rais ni muhimu kukawa na varieties, akatumia vyombo mbalambali vya Umma na vile vya binafsi.
 
Imekuwa ni jambo la kawaida sana tokea enzi za utawala wa awamu ya kwanza ya Mwalimu Nyerere, na awamu zilizofuatia za Mzee Mwinyi, Benjamin Mkapa na hatimaye Jakaya Kikwete, kuitumia siku ya mwisho wa mwaka kutoa hotuba kupitia vyombo vya habari kuelezea mafanikio ya utawala wa wakati huo.

Sasa kwa kuwa tumeingia utawala wa awamu ya 5 ambao ni utawala uliojipambanua kuwa ni utawala wa HAPA KAZI TU, utawala wenye kupambana na ufisadi,utawala wenye kubana matumizi, utawala wenye kuhakikisha kuwa unakusanya kodi to the maximum point na ni utawala ambao kama kiongozi wetu Mkuu Rais Magufuli alivyowahi kusema kuwa unataka watu waliokuwa wakiishi kama Malaika waishi kama mashetani.............

Sasa watanzania wote kwa ujumla wetu, tunayo kiu kubwa ya kumsikia Kiongozi wetu Mkuu, Rais Magufuli akilihutubia Taifa hapo kesho kwa kutumia vyombo mbalimbali vya habari vya kitaifa, akitufafanulia namna sera zake za awamu ya 5 zilivyopata mafanikio makubwa katika mwaka wake wa kwanza tu wa uongozi wake na namna wananchi kwa ujumla wetu tulivyoingia kwenye maisha ya neema kubwa na kufaidika na rasilimali za nchi yetu zilizokua zikitafunwa na kikundi kidogo cha watu ambao wanapaswa kuburuzwa kwenye mahakama maalum za mafisadi.

Kwa hiyo sisi wananchi tunaisubiri kwa hamu kubwa hotuba hiyo ya kiongozi wetu Mkuu Rais Magufuli kwa Taifa hili hapo kesho ambayo ninaamini atakapoitoa itaweza kusuuza roho zetu na kukata kiu za wananchi wanyonge wa nchi hii na kukata 'ngebe' za wapinzani!

Mungu ibariki Tanzania

Swali lako hili Mkuu litapendeza sana kama utalielekezea katika Kurugenzi yake binafsi ya Habari na Mawasiliano iliyopo chini ya Clouds Media Group na watakuja majibu yako yote tena ' mujarab ' kabisa kwani wao CMG muda wote huwa nae na hata namba za Simu wameshapeana na hadi hupigiana Simu pia.
 
Kutogola ndiyo nini Mkuu, hebu nifafanulie?

Ahsante kwa swali lako zuri japo majibu yake yatakuwa marefu na yenye mifano halisi ili uweze kuelewa kwa haraka.
Kutogola ni neno ambalo linatumika hasa wilaya ya Ukerewe mkoa wa Mwanza. Kwa mfano binti umeolewa, baba mkwe wako anaitwa Mystery, sasa ikitokea ukatamka hilo jina free hata kwa kumuita mtoto wake labda ambaye amepewa hilo jina la babu yake tayari tunasema bibi yule kamtogola baba mkwe wake, ndio maana wachaga kuna majina mengi ya BABUUU, KABIBII kukwepa kuwatogola wakubwa. sasa na wewe nilisema umetogola mkulu kwa kuwa ulimtaja direct ila naona Mods wameweka njema, angalau wameandika "Rais Magufuli." Kama hujanielewa ruksa kuniuliza tena na tena, vinginevyo heri ya mwaka mpya Mystery in advance!
 
Lakini Mkuu, watanzania tuliomweka madarakani ndiyo tuna hamu ya kumsikia Kiongozi wetu Mkuu akilihutubia Taifa kupitia vyombo mbalimbali vya habari.

Sasa kwa nini wewe umkingie kifua na kusema siyo lazima alihutubie Taifa?
Vizuri Ku hariri
 
Ahsante kwa swali lako zuri japo majibu yake yatakuwa marefu na yenye mifano halisi ili uweze kuelewa kwa haraka.
Kutogola ni neno ambalo linatumika hasa wilaya ya Ukerewe mkoa wa Mwanza. Kwa mfano binti umeolewa, baba mkwe wako anaitwa Mystery, sasa ikitokea ukatamka hilo jina free hata kwa kumuita mtoto wake labda ambaye amepewa hilo jina la babu yake tayari tunasema bibi yule kamtogola baba mkwe wake, ndio maana wachaga kuna majina mengi ya BABUUU, KABIBII kukwepa kuwatogola wakubwa. sasa na wewe nilisema umetogola mkulu kwa kuwa ulimtaja direct. Kama hujanielewa ruksa kuniuliza tena na tena, vinginevyo heri ya mwaka mpya Mystery in advance!
Nashukuru kwa ufafanuzi mzuri Mkuu Chikira Mtabari.

Nawe nakutakia heri ya mwaka mpya wa 2017.
 
Swali lako hili Mkuu litapendeza sana kama utalielekezea katika Kurugenzi yake binafsi ya Habari na Mawasiliano iliyopo chini ya Clouds Media Group na watakuja majibu yako yote tena ' mujarab ' kabisa kwani wao CMG muda wote huwa nae na hata namba za Simu wameshapeana na hadi hupigiana Simu pia.
Kwani Mkuu Gentamycine, hivi CMG ndiyo imechukua nafasi ya TBC na Uhuru media?!
 
Imekuwa ni jambo la kawaida sana tokea enzi za utawala wa awamu ya kwanza ya Mwalimu Nyerere, na awamu zilizofuatia za Mzee Mwinyi, Benjamin Mkapa na hatimaye Jakaya Kikwete, kuitumia siku ya mwisho wa mwaka kutoa hotuba kupitia vyombo vya habari kuelezea mafanikio ya utawala wa wakati huo.

Sasa kwa kuwa tumeingia utawala wa awamu ya 5 ambao ni utawala uliojipambanua kuwa ni utawala wa HAPA KAZI TU, utawala wenye kupambana na ufisadi,utawala wenye kubana matumizi, utawala wenye kuhakikisha kuwa unakusanya kodi to the maximum point na ni utawala ambao kama kiongozi wetu Mkuu Rais Magufuli alivyowahi kusema kuwa unataka watu waliokuwa wakiishi kama Malaika waishi kama mashetani.............

Sasa watanzania wote kwa ujumla wetu, tunayo kiu kubwa ya kumsikia Kiongozi wetu Mkuu, Rais Magufuli akilihutubia Taifa hapo kesho kwa kutumia vyombo mbalimbali vya habari vya kitaifa, akitufafanulia namna sera zake za awamu ya 5 zilivyopata mafanikio makubwa katika mwaka wake wa kwanza tu wa uongozi wake na namna wananchi kwa ujumla wetu tulivyoingia kwenye maisha ya neema kubwa na kufaidika na rasilimali za nchi yetu zilizokua zikitafunwa na kikundi kidogo cha watu ambao wanapaswa kuburuzwa kwenye mahakama maalum za mafisadi.

Kwa hiyo sisi wananchi tunaisubiri kwa hamu kubwa hotuba hiyo ya kiongozi wetu Mkuu Rais Magufuli kwa Taifa hili hapo kesho ambayo ninaamini atakapoitoa itaweza kusuuza roho zetu na kukata kiu za wananchi wanyonge wa nchi hii na kukata 'ngebe' za wapinzani!

Mungu ibariki Tanzania
Kwani kuna wapinzani hii nchi?alianza lyatonga kwa mzee mkapa mwishoni kalegea, na sasa mbowe kauza timu,upinzani wa kweli hii nchi hautatoka kilimanjaro nimekata tamaa,mbatia,lema,mbowe,mrema kamwe.
 
Maelezo ya uzi wako nimesoma aya ya kwanza tu, nakujibu kutokana na heading yako.

Asihutubie hizo hela za kurusha kipindi akanunulie antidote za nyoka ndugu zetu wa vijijini wasitozwe laki saba na nusu kwa antidote.

Au itoke taarifa ya kutuambia kua mazingira yaliyojengwa yamevutia wawekezaji na 2017 wanakuja kuanzisha viwanda, na ajira zitakuepo kufikia January 2017.

Na mahakama ya mafisadi imepata kesi.
Kama ni Redio ni hela ndogo sana. Kwa saa moja ama mbili hivi, haitatosha kununua Anti sumu ya nyoka kwa ma hospitali yote nchini. Tuacheni siasa.
Akiamua kutuhubia itakuwa bado si gharama!
 
Back
Top Bottom