Nauangalia mwenendo mzima Wa nchi napata picha nyingi sana kichwani kwangu.
Kwanza Magufuli ameshtuka kwamba kauli zake za kibabe kwa wananchi wanyonge zimempotezea mvuto hivyo ametafuta ishu ya kuwapoteza wasahau machungu, akagundua njia ya madawa na kuwachafua wapinzani,
Magufuli anajua kabisa kwamba uchumi umekua hovyo tangu aingie ikulu na yote aliyoahidi wala hatayatekeleza,
Magufuli amejua kabisa kwamba, nguvu ya upinzani inakua kwa kasi hasa jinsi ambavyo viongozi Wa upinzani wamekua na hekima na busara katika matamshi na maamuzi,
Kama Kweli Magufuli anania njema na hii nchi, kama anataka kupambana na ufisadi kwanza angeruhusu kwanza Makonda achunguzwe ili ukweli juu ya Mali alizochuma kwa muda mfupi ujulikane,
Nimefwatilia kinachoendelea Ukumbi Wa Nyerere nimegundua ni siasa kabisa na kampeni za wazi kabisa..
Hebu jiulize, kile kiitikio wanachoitikia kina mama mle ndani kimeandaliwa SAA ngapi??? Hivi nchi hii jamani haishi vituko? kila anayekuja anakuja na sura yake ilimradi mtanzania aendelee kupumbazwa tu.
Sasa naona baada ya kumtaja Mbowe hawataji tena..
Kwanza Magufuli ameshtuka kwamba kauli zake za kibabe kwa wananchi wanyonge zimempotezea mvuto hivyo ametafuta ishu ya kuwapoteza wasahau machungu, akagundua njia ya madawa na kuwachafua wapinzani,
Magufuli anajua kabisa kwamba uchumi umekua hovyo tangu aingie ikulu na yote aliyoahidi wala hatayatekeleza,
Magufuli amejua kabisa kwamba, nguvu ya upinzani inakua kwa kasi hasa jinsi ambavyo viongozi Wa upinzani wamekua na hekima na busara katika matamshi na maamuzi,
Kama Kweli Magufuli anania njema na hii nchi, kama anataka kupambana na ufisadi kwanza angeruhusu kwanza Makonda achunguzwe ili ukweli juu ya Mali alizochuma kwa muda mfupi ujulikane,
Nimefwatilia kinachoendelea Ukumbi Wa Nyerere nimegundua ni siasa kabisa na kampeni za wazi kabisa..
Hebu jiulize, kile kiitikio wanachoitikia kina mama mle ndani kimeandaliwa SAA ngapi??? Hivi nchi hii jamani haishi vituko? kila anayekuja anakuja na sura yake ilimradi mtanzania aendelee kupumbazwa tu.
Sasa naona baada ya kumtaja Mbowe hawataji tena..