Hivi Rais Magufuli anadhani kwa kujifichia kwenye madawa watanzania atamsamehe hata?

akmalza awam ya 7. ataunda kamat ya kutathmn oparation. ripot itasema makonda kafankiwa kupunguza sembe dar kwa 92%
 
Ukitaka kujua msingi wa mtu yeyote inabidi kuchunguza alikotokea - uangalie aliko na ujue anakokwenda. Binadamu ambaye utotoni mwake aliishi maisha na kukataliwa na mmoja wa wazazi wake .. kuna hali fulani ya kuwa na mapungufu kwenye fikra zake.
Hali hiyo lazima imuathiri hata kwenye utendaji wake wa kazi ....

Tuwe na utaratibu wa kuwafanyia uchunguzi viongozi wetu kabla ya kuwaweka kwenye uongozi. Nakumbuka enzi za mwalimu ... mgombea alikuwa anapendekezwa na sio kujipendekeza yeye mwenyewe. Uongozi ni kazi .. utawala sio kazi ...
Kwa lugha hiyo hiyo wewe ni mmoja wao!
 
Rais hataki msamaha wako wewe ngedere ebooo.. na 2020 ndio mtablow wauza poda wakubwa nenda kamwambie mwenyekiti wako achague moja siasa au sembe.
 
Nauangalia mwenendo mzima Wa nchi napata picha nyingi sana kichwani kwangu.

Kwanza Magufuli ameshtuka kwamba kauli zake za kibabe kwa wananchi wanyonge zimempotezea mvuto hivyo ametafuta ishu ya kuwapoteza wasahau machungu, akagundua njia ya madawa na kuwachafua wapinzani,

Magufuli anajua kabisa kwamba uchumi umekua hovyo tangu aingie ikulu na yote aliyoahidi wala hatayatekeleza kuyatelekeza,

Magufuli amejua kabisa kwamba, nguvu ya upinzani inakua kwa kazi hasa jinsi ambavyo viongozi Wa upinzani wamekua na hekima na busara katika matamshi na maamuzi,

Kama Kweli Magufuli anania njema na hii nchi, kama anataka kupambana na ufisadi kwanza angeruhusu kwanza Makonda achunguzwe ili ukweli juu ya Mali alizochuma kwa muda mfupi ujulikane,

Nimefwatilia kinachoendelea Ukumbi Wa Nyerere nimegundua ni siasa kabisa na kampeni za wapi kabisa..

Hebu jiulize kile kiitikio wanachoitikia kina mama mle ndani kimeandaliwa SAA ngapi??? Hivi nchi jamani haishi vituko kila anayekuja anakuja na sura yake ilimradi mtanzania aendelee kupumbazwa tu.

Sasa naona baada ya kumtaja Mbowe hawataji tena..

We bwana /bibi una tatizo kubwa sana yani unaumwa uchama na upinzani. Nashindwa hata kuendelea. Ila kaoshe macho na jiki then uje na mada ya watu kujadili. Unayepupanzwa ni wwe unayependa vya bure. Unajificha katika mtandao. Kama ungekuwa na kazi usingeabdika pumba hizi. Embu tupe historia yako kidogo kuhusu maisha tukusaidie kukutibu.
 
Nauangalia mwenendo mzima Wa nchi napata picha nyingi sana kichwani kwangu.

Kwanza Magufuli ameshtuka kwamba kauli zake za kibabe kwa wananchi wanyonge zimempotezea mvuto hivyo ametafuta ishu ya kuwapoteza wasahau machungu, akagundua njia ya madawa na kuwachafua wapinzani,

Magufuli anajua kabisa kwamba uchumi umekua hovyo tangu aingie ikulu na yote aliyoahidi wala hatayatekeleza kuyatelekeza,

Magufuli amejua kabisa kwamba, nguvu ya upinzani inakua kwa kazi hasa jinsi ambavyo viongozi Wa upinzani wamekua na hekima na busara katika matamshi na maamuzi,

Kama Kweli Magufuli anania njema na hii nchi, kama anataka kupambana na ufisadi kwanza angeruhusu kwanza Makonda achunguzwe ili ukweli juu ya Mali alizochuma kwa muda mfupi ujulikane,

Nimefwatilia kinachoendelea Ukumbi Wa Nyerere nimegundua ni siasa kabisa na kampeni za wapi kabisa..

Hebu jiulize kile kiitikio wanachoitikia kina mama mle ndani kimeandaliwa SAA ngapi??? Hivi nchi jamani haishi vituko kila anayekuja anakuja na sura yake ilimradi mtanzania aendelee kupumbazwa tu.

Sasa naona baada ya kumtaja Mbowe hawataji tena..

Ni utafiti upi uliokupa takwimu hizo mkuu?
Mbona wananchi wamemuunga mkono JPM kwa 100% uchaguzi ulioisha juzi na kuitupa ukawa porini?
 
Ni watanzania wachache wanaoelewa kuwa kwa sasa hamna government agenda zaidi ya maswala ya chama kujipigia kampen(uwepo wa m/kiti mkoa) na kufanya visasi kwa wapinzan na wale ambao kwa upande fulani hawakuwa upande wa jamaa.....sasa hivi yanayotokea tutegemee mengi sana,ila mungu mkubwa atawalinda wote watakao onewa
 
Nauangalia mwenendo mzima Wa nchi napata picha nyingi sana kichwani kwangu.

Kwanza Magufuli ameshtuka kwamba kauli zake za kibabe kwa wananchi wanyonge zimempotezea mvuto hivyo ametafuta ishu ya kuwapoteza wasahau machungu, akagundua njia ya madawa na kuwachafua wapinzani,

Magufuli anajua kabisa kwamba uchumi umekua hovyo tangu aingie ikulu na yote aliyoahidi wala hatayatekeleza kuyatelekeza,

Magufuli amejua kabisa kwamba, nguvu ya upinzani inakua kwa kazi hasa jinsi ambavyo viongozi Wa upinzani wamekua na hekima na busara katika matamshi na maamuzi,

Kama Kweli Magufuli anania njema na hii nchi, kama anataka kupambana na ufisadi kwanza angeruhusu kwanza Makonda achunguzwe ili ukweli juu ya Mali alizochuma kwa muda mfupi ujulikane,

Nimefwatilia kinachoendelea Ukumbi Wa Nyerere nimegundua ni siasa kabisa na kampeni za wapi kabisa..

Hebu jiulize kile kiitikio wanachoitikia kina mama mle ndani kimeandaliwa SAA ngapi??? Hivi nchi jamani haishi vituko kila anayekuja anakuja na sura yake ilimradi mtanzania aendelee kupumbazwa tu.

Sasa naona baada ya kumtaja Mbowe hawataji tena..
Mawazo yako bure kabisa inabidi uchunguzwe kwa kueneza propaganda jipange
 
Kwa kweli yataka moyo ili kumsamehe mtu huyu.
Haiji akilini mwa binadamu yeyote kuona mtu aliyejinadi majukwaani kwa mbwembwe akafikia kupiga hata push ups ili kuwafurahisha watu wapate kumpigia kura awe rais, leo mtu huyo huyo anageuka kuwa asiye na chembe ya huruma kwa watu wale wale utadhani amejiweka mwenyewe hapo anapofanyia ubabe!

Ngoja niwakumbushe, miaka ya 89 - 90 kuliibuka kundi la vijana waliokuwa wanajiita kiboko msheri ambao kwa sasa wanajulikana kama panya road, vijana waliposumbua sana ilibidi watu wenye hasira kali waingilie na mpambano ulikuwa mkubwa kweli.
Hoja yangu iko kwa wazazi wa hawa viboko msheri jinsi walivyokuwa wanajitahidi kuwahami vijana wao wasiuawe au kuadhibiwa, wengi walikuwa wanatolewa uvunguni mwa vitanda vya wazazi wao, huku akina mama wakijifunga vibwebwe kuwakinga hao vijana wao wasikamatwe wala kuuawa kwa kuchomwa moto. Walikuwa wanafanya hayo si kwamba walikuwa hawajui kwamba watoto wao ni vibaka ila hile huruma na thamani ya utoto kwa hawa vibaka kwa wazazi wao ilikuwa pale pale hata kama ni waovu au waharifu, huu ndio uzazi unavyotaka.

Leo tuna kiongozi wa taifa anayetoa kauli pasi na chembe ya huruma wala utu, eti "wale waliokamatwa nje ya nchi wawe wamehukumiwa vifungo vya maisha au kunyongwa, wanyongwe tuu" na kwamba mabalozi wetu asiwasikie wakijaribu kwenda kuwatetea!
Tuna kiongozi anayetaka kuona mtuhumiwa akihukumiwa right away bila kupewa nafasi ya kujitetea mradi kakutwa na kidhibiti haijarishi ni cha kwake kweli au kawekewa na hao wanaomkamata! zipo kauli nyingi za hasira na kukomoa kutoka kwa rais wetu, kweli jamani kweli ndio ubaba tulioutarajia sisi familia ya Tanzania?!

Labda kwakuwa akili zetu zilishaunguzwa na moto wa mwenge vinginevyo asingekuwa anahutubia watu wanashangilia na kuchekelea hata kidogo, maana kwa kufanya hivyo anadanganyika kuwa yuko sahihi kwa anayotutendea.
Tanzania ni yetu sote,akina Tundu Lissu wamethubutu kumuwia kioo ajitazame kwa bahati hata wale wa ccm wenzie baadhi wameanza kuthubutu kumuwia kioo ajitazame, tuwaunge mkono katika hili ikiwa kweli tuna mapenzi mema na rais wetu.
 
Nauangalia mwenendo mzima Wa nchi napata picha nyingi sana kichwani kwangu.

Kwanza Magufuli ameshtuka kwamba kauli zake za kibabe kwa wananchi wanyonge zimempotezea mvuto hivyo ametafuta ishu ya kuwapoteza wasahau machungu, akagundua njia ya madawa na kuwachafua wapinzani,

Magufuli anajua kabisa kwamba uchumi umekua hovyo tangu aingie ikulu na yote aliyoahidi wala hatayatekeleza kuyatelekeza,

Magufuli amejua kabisa kwamba, nguvu ya upinzani inakua kwa kazi hasa jinsi ambavyo viongozi Wa upinzani wamekua na hekima na busara katika matamshi na maamuzi,

Kama Kweli Magufuli anania njema na hii nchi, kama anataka kupambana na ufisadi kwanza angeruhusu kwanza Makonda achunguzwe ili ukweli juu ya Mali alizochuma kwa muda mfupi ujulikane,

Nimefwatilia kinachoendelea Ukumbi Wa Nyerere nimegundua ni siasa kabisa na kampeni za wapi kabisa..

Hebu jiulize kile kiitikio wanachoitikia kina mama mle ndani kimeandaliwa SAA ngapi??? Hivi nchi jamani haishi vituko kila anayekuja anakuja na sura yake ilimradi mtanzania aendelee kupumbazwa tu.

Sasa naona baada ya kumtaja Mbowe hawataji tena..
Magufuli is not right mentally!
 
Kwa sasa wameamua kuweka tochi katikati ya mji kuona kama watapata lolote kwani makusanyo ya trafic yamepungua kwa sasa jichungeni wanataka 50km/h
 
Ni utafiti upi uliokupa takwimu hizo mkuu?
Mbona wananchi wamemuunga mkono JPM kwa 100% uchaguzi ulioisha juzi na kuitupa ukawa porini?
emoji1241.png
emoji872.png
emoji188.png



Wewe umefanya utafiti gani uliokupa matokeo ya 100% ya jpm kuungwa mkono na wananchi...!!??


Tafakari...!!
 
hapo unaposema machungu "unamaanisha nini fanya kazi hayo machungu yataisha,mlizoea wizi wizi kila mahali mmepigwa pini mnaha ha kona zote,wakazie wakazie baba yatanyooka tu
 
Back
Top Bottom