Tila-lila2
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 653
- 1,058
Baada ya kuvunja Bunge hivi Katiba au Sheria husika inasemaje kuhusu majukumu ya Rais kutumbua Mawaziri, kuteua Watendaji, n.k?
Je, pia mfano inatokea vita, Bunge linaweza kuitishwa kwa dharura ya kuidhinisha nchi yetu kwenda vitani kwa sasa?
Je, pia mfano inatokea vita, Bunge linaweza kuitishwa kwa dharura ya kuidhinisha nchi yetu kwenda vitani kwa sasa?