Kwa hakika kama sio DHARAU basi ni KIBURI. Kama sio hivyo viwili, basi ni KUJISAHAU. Na kama sio vyote labda ni Mzoefu wa KUTELEZA ULIMI.
Serikali yoyote inafanya kazi sake kwa kodi toka kwa wananchi wake. Bila kujali kabila, dini, msimamo wa kisiasa, jinsia nakadhalika.
Nimekuwa nikisikitishwa sana kauli za Ndugu Magufuli kuwa eti, serikali yake inashinndwa kupeleka maendeleo katika baadhi ya maeneo kisa eti, yamechagua vyama vya upinzani!
Mheshimiwa Rais ina maana maeneo haya hayalipi kodi serikalini? Au wewe pesa ya kupeleka maenndeleo huko Kwingine huwa unatoa wapi?
Kwa kweli kauli hii ni dhihaka kwa watu wako, na kuwageuza watu wengine kama wapuuzi tu ndani ya nchi yao.
Napenda tu Magufuli ajue, anakula, anaishi vizuri, analindwa na anatunzwa ki VIP kwa kodi ya watu wote wanaoipenda CCM na vyama vyingine vya UPINZANI.
Kwa kauli hizi, Mimi mlipa kodi wa UPINZANI nitakuwa na haki ya kukushtaki Duniani na Ahera.
Ni aibu kauli kama hiyo kutolewa na kiongozi, anayepaswa kuwa RAIA na MZALENDO namba moja wa Nchi.
Serikali yoyote inafanya kazi sake kwa kodi toka kwa wananchi wake. Bila kujali kabila, dini, msimamo wa kisiasa, jinsia nakadhalika.
Nimekuwa nikisikitishwa sana kauli za Ndugu Magufuli kuwa eti, serikali yake inashinndwa kupeleka maendeleo katika baadhi ya maeneo kisa eti, yamechagua vyama vya upinzani!
Mheshimiwa Rais ina maana maeneo haya hayalipi kodi serikalini? Au wewe pesa ya kupeleka maenndeleo huko Kwingine huwa unatoa wapi?
Kwa kweli kauli hii ni dhihaka kwa watu wako, na kuwageuza watu wengine kama wapuuzi tu ndani ya nchi yao.
Napenda tu Magufuli ajue, anakula, anaishi vizuri, analindwa na anatunzwa ki VIP kwa kodi ya watu wote wanaoipenda CCM na vyama vyingine vya UPINZANI.
Kwa kauli hizi, Mimi mlipa kodi wa UPINZANI nitakuwa na haki ya kukushtaki Duniani na Ahera.
Ni aibu kauli kama hiyo kutolewa na kiongozi, anayepaswa kuwa RAIA na MZALENDO namba moja wa Nchi.