Creative Hub
Member
- Dec 2, 2019
- 89
- 98
ahahah
Sio r na l tu, ni kwamba Watanzania wengi hawawezi kuandika kiswahili. Huko Facebook ndio balaa kabisa, najiuliza hawa watu walimaliza vipi shule za msingi.
Bora hata kiswahili mkuu, kuliko wakichapia kiingereza.
I sink this is ... (Hapa neno sink anamaanisha THINK)
Zis is
Ze table
N.k
Uliwahi kuasikiliza wabunge wakiwahoji wagombea Ubunge Afrika ya Mashariki?Bora hata kiswahili mkuu, kuliko wakichapia kiingereza.
I sink this is ... (Hapa neno sink anamaanisha THINK)
Zis is
Ze table
N.k
JIWE hajui kingereza japo sometimes huwa anafosi ila akiongea kiswahili ndio anachapia kabisa hizo "R,L'Makabila mengi Mkoani wa Mara hayana L; kila kitu ni R tu. Wengi hudhani ni wakuria tu ila ukweli ni kuwa makabila karibu yote ya mkoa huo hayana R kabisa. Sauti ya R ni nuksi kwao
kwenye lafudhi sawa tunaathiriwa na lugha za kwanza, lakini hata kwenye kuandika!!! reo. rakini, lais nkHizo ni athari za lugha ya nyumbani na sio rahisi kubadilisha kama unavyofikiri.Lugha yoyote inayokuja kwako kama lugha ya pili lazima itaathiriwa na lugha ya kwanza.Nailo ni swala la ulimi sio akili.Hata wazungu kwenye nchi wanazozungumza kingereza wanatofautiana lafudhi kati ya nchi na nchi wakati lugha ni ile ile.kwaiyo hiyo ni kawaida sana kwenye jamii yetu na kamwe hatuwezi kufanana ulimi.
kwenye lafudhi sawa tunaathiriwa na lugha za kwanza, lakini hata kwenye kuandika!!! reo. rakini, lais nkHizo ni athari za lugha ya nyumbani na sio rahisi kubadilisha kama unavyofikiri.Lugha yoyote inayokuja kwako kama lugha ya pili lazima itaathiriwa na lugha ya kwanza.Nailo ni swala la ulimi sio akili.Hata wazungu kwenye nchi wanazozungumza kingereza wanatofautiana lafudhi kati ya nchi na nchi wakati lugha ni ile ile.kwaiyo hiyo ni kawaida sana kwenye jamii yetu na kamwe hatuwezi kufanana ulimi.
Rugha ya mama ndiyo kitu gani warahi?hakuna cha lugha za mama, kwani wengine hawana lugha za mama, umejuaje kibeberu {zungu} kama si kujifunza?
achauvivu,
Ulianza vizuri halafu ukaja kuandika UTUMBOTena kuna hawa Wachungaji na Manabii ukiwaskia wakiongea ndiyo wanazikazia " L" badala ya "R". Halafu hapo bado haujahamia kwenye vyombo vya habari.
Kwenye mitihani ya kitaifa, wanafunzi wa Tanganyika wanafanya vizuri sana kwenye Kiswahili kuliko wa upande wa visiwani, huko ulikosema wanajua Kiswahili.racso kaunda,
Nenda Zanzibar ukaonje ladha ya Kiswahili hawana usumbufu wa herufi kimaandishi na matamshi sijui ni ule urojo wanaokula
Si juzi tu umesikia watoto wamefaulu lakini hawajui kusoma wala kuandika sijui ndo Multiple choice au tia √ × Ila ni ukweli usio pingika hata mkaazi wa Jumba jeupe zinampa shida hizi herufiKwenye mitihani ya kitaifa, wanafunzi wa Tanganyika wanafanya vizuri sana kwenye Kiswahili kuliko wa upande wa visiwani, huko ulikosema wanajua Kiswahili.
racso kaunda,
Nenda Zanzibar ukaonje ladha ya Kiswahili hawana usumbufu wa herufi kimaandishi na matamshi sijui ni ule urojo wanaokula
Kwenye mitihani ya kitaifa, wanafunzi wa Tanganyika wanafanya vizuri sana kwenye Kiswahili kuliko wa upande wa visiwani, huko ulikosema wanajua Kiswahili.
Mkuu Lugha inazungumzwa na kuandikwa pia. Tena ya kuandika ndiyo ya muhimu zaidi kwa sababu inakuwa documented (sijui Kiswahili cha hili neno, kama wajua nijuze) na hivyo kuwafia wengi zaidi wakati huo mwandishi haupo nao, japo kwa upande wa wana-habari kama radio, tv, nk hata hiyo ya kuongea, lugha fasaha ni muhimu pia.Lugha inazungumzwa mdomoni, Hata mzungu naweza pasi mtihani wa darasani akisoma.