Hivi R, L na H, ni Ugonjwa wa Taifa?

Mwanaume haongei maneno mengi , maneno mengi ni ke.

Kumbe mtu akikushinda hoja tayari anakua mwanamke?

Its funny some humans assign sex gender to other humans!

Una power kubwa sana ya ku-assign gender to other humans aisee!

Are you some powerful God or Ghost or something like that?
 
Kumbe mtu akikushinda hoja tayari anakua mwanamke?

Its funny some humans assign sex gender to other humans!

Una power kubwa sana ya ku-assign gender to other humans aisee!

Are you some powerful God or Ghost or something like that?
Kuna hoja gani ulioshinda hapo , hoja za matusi , kweeli ujinga mzigo, kuna vijora vinauzwa mtaani nadhani vitakufaa.ujinga ujinga mwingi, kha viongozi wetu wanakazi kuongoza watu wenye vichwa kama hivi du !
 
Kuna hoja gani ulioshinda hapo , hoja za matusi , kweeli ujinga mzigo, kuna vijora vinauzwa mtaani nadhani vitakufaa.ujinga ujinga mwingi, kha viongozi wetu wanakazi kuongoza watu wenye vichwa kama hivi du !

Nimeshinda!

Weww ni nani unipangie kama nimeshinda au sijashinda!?

Wewe jisemee mwenyewe!

Jinga wewe unaeongea na jinga!

Utakua jinga kubwa zaidi!
 
Nimeshinda!

Weww ni nani unipangie kama nimeshinda au sijashinda!?

Wewe jisemee mwenyewe!

Jinga wewe unaeongea na jinga!

Utakua jinga kubwa zaidi!
Wewe si ndio umesema umeshinda kwa kutukana matusi kama hayawani, akupangie nani wewe hay*wani, hayawani anapangiwa na nani ? Si hua anajamba tu hovyo bila utaratibu.
 
Wewe si ndio umesema umeshinda kwa kutukana matusi kama hayawani, akupangie nani wewe hay*wani, hayawani anapangiwa na nani ? Si hua anajamba tu hovyo bila utaratibu.

Nimekutukana!

Kama umekasirika sana jump over the ocean!

Hayawani wewe!

Kujamba unajamba kama wanadamu wengine!
 



Ugonjwa huu wa kimatamshi umezidi kukua siku hadi siku. Ingawa zamani ilifahamika kuwa husababishwa na athari za lugha mama (lugha za kikabila) kwa wale wanaojifunza kiswahili baada ya kuwa na lugha yao waliyoiamili kutoka kwa wazazi wao.

Lakini kwa sasa kwa uchunguzi tulioufanya umebaini kuwa hata wale waliozaliwa na kukulia katika kiswahili wanafanya makosa hayo ya kimatamshi kwa kiasi kikubwa. Hivyo tunaweza kusema sababu kama mazoea mabaya, kujiendekeza, uigaji, na matatizo ya kimaumbile katika utamkaji ni sababu mojawapo zinazosababisha makosa ya kimatamshi.

Kuhusu L na R , watumiaji wengi wa kiswahili wamekuwa wakifananisha matumizi ya hizi sauti mbili na kuwa sauti moja inaweza kutumika kama mbadala wa nyenzake ndiposa utakuta

-Mtu akitamka - Nisubili badala ya nisubiri

- Tafadhari badala ya Tafadhali

- Mahali badala ya mahari na kinyume chake.

- Mstali badala ya mstari

- Upiri badala ya upili

- Siri badala ya sili na kinyume chake.

Makosa haya sio tu yanaharibu lugha yetu ya kiswahili na kurithisha kiswahili kibovu kwa watumiaji wa baadaye bali pia huweza kupotosha maana hasa pale makosa haya nanapofanywa katika uandishi wa aina yeyote. Kwa mfano mtu aandikapo sili akimaanisha (jambo lililofichika) msomaji huweza kuchukulia kuwa alimaanisha (hatokula)

Utofauti wa L NA R upo wapi?

Ingawa sauti sote hizi huweza Kuwekwa katika kundi la

Vilainisho au vimadende
Sauti [l, r] zinaitwa vilainisho. Ingawa wakati zinapotolewa kunakuwa na mzuio wa mkondo-hewa kama katika utoaji wa konsonanti nyingine, mzuio huu ni mdogo sana na hausababishi ukwamizo. Wakati sauti [l] inapotolewa, ulimi huwa umeinuliwa na kugusana na ufizi, na hivyo hewa hupita kwa kuzunguka kwenye pembe za ulimi. Sauti [r] hutolewa kwa kukunja ncha ya ulimi nyuma ya ufizi.

Hata hivyo sauti[ r] ni kimadende (hutamkwa huku ncha ya ulimi ikipigapiga ufizi wa juu na sauti[ l] ni kitambaza na kwa ujumla sauti hizi hufanya majukumu tofauti kati mjengo wa neno na hakuna mpishano wa namna yeyote ile katika sauti hizi mbili.

Mwisho wewe na mimi tunalojukumu la kukilinda na kukijenga kiswahili na sio kukiharibu tumia[ l] na [R] kiusahihi.

#Masshele Kiswahili
 
Hii nayo yaweza kuondoka na mtu maana hatuwezi kuona lugha inayotarajiwa kuwa ya Africa inavurugwavurugwa
 
Hili kuepukana na hii fedheha pale unapokuwa hauna uhakika basi andika hata kwa lugha ya kigeni.
 

Ni Mazoea ya watu tu, HALAFU CHA AJABU UTAKUTA MSOMI MZIMA ANACHANGANYA HIZI HERUFI
Screenshot_2019-10-24-12-14-36.png
 
Siku hizi ukikuta mtu ameandika "ana... " kuwa makini pengine anamaanisha "hana... " hizo R na L zinahitaji tu umakini wa mtu maana wengi wasiomakini wanachapiaga hizo herufi
 
Siku hizi ukikuta mtu ameandika "ana... " kuwa makini pengine anamaanisha "hana... " hizo R na L zinahitaji tu umakini wa mtu maana wengi wasiomakini wanachapiaga hizo herufi

Ana ...hana
Kalamu ...karamu
Dhana ...zana
Think ...sink😂
Thelathini ...selasini

Mtu anaweza kuuza ugomvi, mathalani mtu akisema "Tumetoka hospitali wamesema Mayasa ana UKIMWI.😦😢
 
racso kaunda, ]
Tatizo hili sio hapa jf tu. Yaani Waandishi na watangazaji karibu wote kwenye TV za mitandaoni wana tatizo hili R na L
Makabila mengi Mkoani wa Mara hayana L; kila kitu ni R tu. Wengi hudhani ni wakuria tu ila ukweli ni kuwa makabila karibu yote ya mkoa huo hayana R kabisa. Sauti ya R ni nuksi kwao
 
Habari Wanandugu,

Katika kitu ambacho huwa kinanishangaza katika nyakati hizi ni maandishi na matamshi ya baadhi ya herufi na silabi. Huwa najiuliza kuwa Watanzania tunakwama wapi kwenye herufi "R" na "L" kuanzia kuyaandika mpaka kutamka?

Miaka ya nyuma kulikuwa na kichaka cha kujificha kuwa kuna Makabila ambayo hayana herufi "R" kwenye lugha zao za nyumbani, hasa mikoa ya kusini (Lindi & Mtwara).

Lakini siku hizi siyo kushindwa kutamka bali yanabadilishwa kabisa. Utakuta mtu na elimu yake anakuandikia "RAKINI" badala ya "LAKINI", Eti " KALILI" badala "KARIRI", kuna muda unamsikiliza mtu mpaka unashindwa kumwelewa kama anaongea kiswahili au anatumia lugha nyingine.

Tena kuna hawa Wachungaji na Manabii ukiwaskia wakiongea ndiyo wanazikazia " L" badala ya "R". Halafu hapo bado haujahamia kwenye vyombo vya habari.

Sasa cha ajabu siwani wakiwa wanabadili matumizi ya R na L wakiwa wanazungumza Kiingereza. Kwa hiyo huu ugonjwa ni ulimbukeni uliotujaa au ni wa makusudi?


MAONI KUTOKA KWA WADAU
Bora hata kiswahili mkuu, kuliko wakichapia kiingereza.

I sink this is ... (Hapa neno sink anamaanisha THINK)
Zis is
Ze table
N.k
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom