James88
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,700
- 1,754
Sudhani kama kuna kanuni
Yako makosa mengi sana, matumizi ya maneno " yeyote na yoyote " bado nichangamoto. Wekeni kanuni ya matumizi R na L hapa twende pamoja. Au nikukariri tu hakuna kanuni?