Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,990
Unless kama kituo cha polisi cha msamvu kipo na kinafanya kazi huo utaitwa uzembe...Lakini yako majeshi maalum and well trained kwa shughuli hizo. Shida ni uzembe tu. Kama ni kweli muda wa dk 45 ulitosha kabisa kuzuia ajali hii. Fikiria raia walivyojaa pale utadhani wako sokoni, hivi polisi hawakuistukia ile hali? Hilo eneo ni karibu na stend pana usalama barabarani muda wote wapo. Hawakuuona uelekeo wa watu wakikimbilia huko? Ina maana raia wanaona matukio zaidi ya askari wetu?
Ninachojua mimi, askari popote alipo na wakati wowote anapaswa kuwa na macho na masikio mara mbili ya raia wa kawaida. Ndo maana wanaitwa wanausalama.
Ni wazembe, wapenda ngono, umbea wa kufuatilia vitu vidogovidogo na kudai rushwa, siyo wabunifu na hawajitumi. Kwa kifupi polisi Tanzania ni mzigo.
Na kama hakuna basi hata ndani stendi mpya ama anywhere around Msamvu wangeweka kituo cha polisi
Ila kama ndio watoke mjini na traffic/songamano barabarani sintawalaumu..
All in all we are getting better everytime hasa baada ya challenges kama hizi....