Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,386
- 79,594
Sidhani Kama wanatoa msaada wa pedi. Kumbuka hedhi ni jambo endelevu linalotokea kila mwezi. Sidhani km wanaweza kuhudumia kila mtoto maskini kila mwezi. Wanachofanya East Africa radio/TV ni kumsaidia mtoto wa kike aweze kupata pedi kila mwezi asikose kwenda shule. Bei ya pedi ni 2000 mpk 3000. Sio kila familia zina huo uwezo.Umenena vyema kabisa ndani ya hilo swali lako.
Nikinunua kila kitu nalipa kodi, mfano, gari; mshahara wangu unakatwa kodi, gratuity yangu inakatwa kodi kubwa tu.
TASAF si ndio wanaosaidia familia/ kaya masikini hapa nchini, je, hili sio tatizo kubwa kwao la kutatuliwa?