Hivi Obama ana msimamo thabiti na dhamira yake? Hebu jadili hili:

trachomatis

JF-Expert Member
Jun 7, 2011
3,758
736
Kwenye State of Union address yake ametilia mkazo kwamba hatakubali Tehran wafanikishe mipango yao ya Nyuklia.. Na atafanya kila jitihada itakayowezekana kuhakikisha Iran wanashindwa kutekeleza mpango huo...

Akasema kuwa atakuwa upande wa Taifa la Israel wakati wote na watalisaidia Taifa hilo inapobidi ili kudumisha ushirikiano wa muda mrefu wa nchi hizo mbili...

Sasa kumbukeni aliahidi kulifunga gereza la Guantanamo,na ameshindwa kufanya hilo hadi leo,na si kushindwa tu,hatalifunga,na halitafungwa kamwe..!
Hii ni kutokana na shinikizo la sheria mpya aliyoisaini,tena kwa shingo upande,hili ni kwa mujibu wa hotuba yake mwenyewe,kwamba amesaini kwa sababu amelazimika na si kutokana na utashi wake.

Na sheria hiyo ni mbaya sana hata kwa Wamarekani wenyewe kwa maana inaruhusu mtu/watu kukamatwa na kuwekwa kizuizini huko Guantanamo,bila ya ushahidi wa kutosha,na bila hata ya kutegemea kufunguliwa mashitaka!
 
Tofautisha kati ya suala la Iran na kufungwa kwa gereza la Guantanamo, ukiweza kuona tofauti ya hivyo vitu viwili utaijua dhamira yake.
 
Tofautisha kati ya suala la Iran na kufungwa kwa gereza la Guantanamo, ukiweza kuona tofauti ya hivyo vitu viwili utaijua dhamira yake.

Sawa ni mtazamo tu..
Na nje wale tunaowaita OWS walikuwa na hotuba yao ya kupinga address ya Obama.. They are the 99%.... Hotuba yao waliisoma kama imla... Na kwamba wao wanapigania mapinduzi..
 
Yaani pengine baadhi yetu tulikuwa na mtazamo tofauti na Barack... Je mmeona fulana za maveterani wa vita ya Iraq? Nao wamejiunga kwenye maandamano ya OWS! Na wanasema,they were fighting for their country some years back,but now they have come to know their real enemy..
 
And yet they add kwamba,hotuba walizopatiwa wakati wanaenda vitani nchi tofauti duniani ni kwamba wanaenda kukomboa wananchi wanaoonewa na kunyimwa uhuru ndani ya nchi yao..
Sasa wanashangaa yale yaliyoifanya nchi yao ikapigane kwenye mataifa mengine yanafanyika kwenye nchi yao,, wanashangaa hiyo ni demokrasia gani na ni uhuru gani!...
Hata hivyo Barack amewaignore...
 
American Interests has a four-fold purpose, to increase knowledge of, highlight threats to, explore opportunites for and above all, serve as platform of advocacy for the continuance and preservation of global American dominance because, as was stated well before me, "America must remain strong".

Siku zote viongozi wakuu wa Marekani wanachagua lile lililo la maslahi kwa taifa lao na linalohakikisha wanaendelea kutawala dunia....Obama kama Obama aweza kuwa na dhamira tofauti na matendo yake,lakini kama Rais wa Marekani lazima alinde interest za wamarekani....Tukikumbuka Obama kipindi cha kampeni,alivyopokelewa Berlin na hadi kupewa Tuzo ya Nobel Peace kwa kuhubiri amani,wengi wetu tunashindwa kuamini ndo huyu wa sasa.....kwa gharama yeyote lazima ahakikishe Marekani inabaki kuwa taifa lenye nguvu zaidi duniani hata kama dhamira yake inamsuta....!
 
American Interests has a four-fold purpose, to increase knowledge of, highlight threats to, explore opportunites for and above all, serve as platform of advocacy for the continuance and preservation of global American dominance because, as was stated well before me, "America must remain strong".

Siku zote viongozi wakuu wa Marekani wanachagua lile lililo la maslahi kwa taifa lao na linalohakikisha wanaendelea kutawala dunia....Obama kama Obama aweza kuwa na dhamira tofauti na matendo yake,lakini kama Rais wa Marekani lazima alinde interest za wamarekani....Tukikumbuka Obama kipindi cha kampeni,alivyopokelewa Berlin na hadi kupewa Tuzo ya Nobel Peace kwa kuhubiri amani,wengi wetu tunashindwa kuamini ndo huyu wa sasa.....kwa gharama yeyote lazima ahakikishe Marekani inabaki kuwa taifa lenye nguvu zaidi duniani hata kama dhamira yake inamsuta....!

Nakuelewa vizuri Michelle.. Maana si kila mtu anapata jibu la kuridhisha kulingana na maswali yake.,aliyouliza.
 
Nakuelewa vizuri Michelle.. Maana si kila mtu anapata jibu la kuridhisha kulingana na maswali yake.,aliyouliza.

Pole kama sijakujibu, hao wanaodai mapinduzi,sina hakika kwamba kweli walikwenda nchi kama Iraq wakijua kwamba Sadam Hussein alikuwa na silaha za maangamizi si kuwa serikali yao ilikuwa na maslahi ya kiuchumi zaidi....siwezi kuelewa kwanini hadi sasa huko Syria watu wanakufa hivyo wanajeshi wa Marekani hawajatumwa kusaidia wanaoonewa.....Kama viongozi wa Marekani wanawadanganya wanajeshi wake basi hiyo itakuwa mpya....binafsi naamini wanajuaga kinachowapeleka na hili hata Donald Trump analiweka wazi.....!
 
Obama is a food stamp president,hana jipya..amalize miaka yake mitano arudi kwao hawaii.
 
American Interests has a four-fold purpose, to increase knowledge of, highlight threats to, explore opportunites for and above all, serve as platform of advocacy for the continuance and preservation of global American dominance because, as was stated well before me, "America must remain strong".

Siku zote viongozi wakuu wa Marekani wanachagua lile lililo la maslahi kwa taifa lao na linalohakikisha wanaendelea kutawala dunia....Obama kama Obama aweza kuwa na dhamira tofauti na matendo yake,lakini kama Rais wa Marekani lazima alinde interest za wamarekani....Tukikumbuka Obama kipindi cha kampeni,alivyopokelewa Berlin na hadi kupewa Tuzo ya Nobel Peace kwa kuhubiri amani,wengi wetu tunashindwa kuamini ndo huyu wa sasa.....kwa gharama yeyote lazima ahakikishe Marekani inabaki kuwa taifa lenye nguvu zaidi duniani hata kama dhamira yake inamsuta....!

Michelle nimekuelewa vizuri sana...
Na you have answered all the asked and unasked questions kwa kweli.. Thanks a lot.. Ila Occupy Wall Street nadhani will haunt him for a while..
 
Pole kama sijakujibu, hao wanaodai mapinduzi,sina hakika kwamba kweli walikwenda nchi kama Iraq wakijua kwamba Sadam Hussein alikuwa na silaha za maangamizi si kuwa serikali yao ilikuwa na maslahi ya kiuchumi zaidi....siwezi kuelewa kwanini hadi sasa huko Syria watu wanakufa hivyo wanajeshi wa Marekani hawajatumwa kusaidia wanaoonewa.....Kama viongozi wa Marekani wanawadanganya wanajeshi wake basi hiyo itakuwa mpya....binafsi naamini wanajuaga kinachowapeleka na hili hata Donald Trump analiweka wazi.....!

Nimekuelewa vizuri sana Michelle..
Na umenitajia Syria,ndiyo kabisa..Hebu tazama nchi kama Yemen kwa mfano,na linganisha na Syria..
Kifupi nimekupata.. Ila mifumo yake hiyo inawafanya wawe ama wajiundie maadui ndani na nje.. No wonder hizo 4 folds..
 
Back
Top Bottom