trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Kwenye State of Union address yake ametilia mkazo kwamba hatakubali Tehran wafanikishe mipango yao ya Nyuklia.. Na atafanya kila jitihada itakayowezekana kuhakikisha Iran wanashindwa kutekeleza mpango huo...
Akasema kuwa atakuwa upande wa Taifa la Israel wakati wote na watalisaidia Taifa hilo inapobidi ili kudumisha ushirikiano wa muda mrefu wa nchi hizo mbili...
Sasa kumbukeni aliahidi kulifunga gereza la Guantanamo,na ameshindwa kufanya hilo hadi leo,na si kushindwa tu,hatalifunga,na halitafungwa kamwe..!
Hii ni kutokana na shinikizo la sheria mpya aliyoisaini,tena kwa shingo upande,hili ni kwa mujibu wa hotuba yake mwenyewe,kwamba amesaini kwa sababu amelazimika na si kutokana na utashi wake.
Na sheria hiyo ni mbaya sana hata kwa Wamarekani wenyewe kwa maana inaruhusu mtu/watu kukamatwa na kuwekwa kizuizini huko Guantanamo,bila ya ushahidi wa kutosha,na bila hata ya kutegemea kufunguliwa mashitaka!
Akasema kuwa atakuwa upande wa Taifa la Israel wakati wote na watalisaidia Taifa hilo inapobidi ili kudumisha ushirikiano wa muda mrefu wa nchi hizo mbili...
Sasa kumbukeni aliahidi kulifunga gereza la Guantanamo,na ameshindwa kufanya hilo hadi leo,na si kushindwa tu,hatalifunga,na halitafungwa kamwe..!
Hii ni kutokana na shinikizo la sheria mpya aliyoisaini,tena kwa shingo upande,hili ni kwa mujibu wa hotuba yake mwenyewe,kwamba amesaini kwa sababu amelazimika na si kutokana na utashi wake.
Na sheria hiyo ni mbaya sana hata kwa Wamarekani wenyewe kwa maana inaruhusu mtu/watu kukamatwa na kuwekwa kizuizini huko Guantanamo,bila ya ushahidi wa kutosha,na bila hata ya kutegemea kufunguliwa mashitaka!