Hivi nyie watu wa Dar mnaishije na hali hii ya joto?

davetz28

JF-Expert Member
Dec 17, 2017
543
617
Habarini

Nilikuja kutoa matongotongo kidogo Dar na leo ninapoandika ujumbe huu natoka Kariakoo narudi zangu huko ambako hasa ndio tunazalisha chakula.

Nimefika Kariakoo nikasema ngoja nitafute chochote cha kuwabebea watoto,lahaulaaa la kwata!!, Nimeshindwa kuendelea kuzunguka njia zimejaa watu hata kutembea na mafua yatatuacha kweli?

Lakini mbaya zaidi joto ni kali sana, suruali inaloa, shati nililovaa limelowana na jasho.

Je hali hii ni ya kawaida kwenu mnaokaa hapa mjini? Kwetu mwaka huu kuna joto ila si kama huku.

Poleni sana watu wa Dar, je mnahimili vipi hali hii, na wanaokula matunda kwa masihara wanafanyeje kwenye hali hii kama mfuko umelegea kwenda kwenye nyumba zenye viyoyozi?

Ila nimegundua pia wasichana wa Dar machi juu sana ndio maana hata ule uzi wa Riki boy unapata umaarufu

Povu ruksa maana nimesweti sana
 
Hili swali atakujibu namba moja WA nchi hii SSH,amehama Dodoma anakuja kutengeneza foleni dar
Watu wote tuko Dar hata mwanamuziki maarufu sikukuu hii Kama hayuko kwa mashemeji migombani atakua Dar kwa ajili ya Xmas na mwaka mpya.
 
Umeonaje totoz za Dar na mama zao wanaovaa vimini wasiopenda shikamoo?
Ulibahatika kuwaona kina dada wa uswazi wanaovaa madela na kuongea Kama chetahani?
Tangu uje ulibahatika kula chips?
Hatari mkuu,kila nikitembea nageuka,nafananisha tu
Dar kubwa ila nimeona pia vitoto vidogo vina watoto
 
Hatari mkuu,kila nikitembea nageuka,nafananisha tu
Dar kubwa ila nimeona pia vitoto vidogo vina watoto
Hivyo unavyoviita vitoto vidogo vyenye watoto ungeviomba namba za simu ili ukutane navyo Giza likiingingia. Hakika ungebadilisha kauli yako ya kuviita vitoto.
Vinajua Mambo m Bibi wa huko kwenu Nkansi hategemei kuvisikia mpaka afe
 
Dar hamna joto..nikimtemelea kaka kharid pale upanga karibu na shule ya agkhan huwa ni mwendo wa viyoyozi tu na kula popcon huku tunatizama wwb ...
 
Back
Top Bottom