B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,357
- 4,379
Me nimemuacha japo alinip mzigo the first dayMwanamke nikikutaba naye mara ya kwanza na siku hiyo hiyo nikala mzigo, hao siwaachi kirahisi. Wale wasumbufu nakipiga huenda ikawa ndiyo kuagana.
Akikupenda haijalishi kama ndiyo first time. Angalia response yake na jinsi anavyojituma.
Demu kutoa namba ya jamaa yake, itakuwa kumwona huyo jamaa ni fala sana.