Ulisoma chuo gani mkuu zion college auStori tu za kawaida zinazotuhusu, zinakija tu automatically, za shule, za chuo, za familia, za biashara, mipango ya baadae, utani, stori za mapenzi, ila hatuongelei siasa kamwe![]()
Na yeye anakupa umbea wa masela Wake au!!!?Mambo yetu na pia nampa umbea wa mashost kama tangazo la udhamini.
Wewe Kama Mimi tu.Nilijua nipo peke yangu, tena mimi asiponitafuta inaweza kupita siku tusiwasiliane
HahahaSaa 7 mnapanga mipango ya kupindua nchi??
They talk about everything, love, life, politics, adventures, movies, music, history, huwezi kukosa ch akuongea na mwenzi wakomnakuwa mnaongea issue gani muda wote huo?
Zayoniii zayoniii ni chuooooUlisoma chuo gani mkuu zion college au
Daah aisee hivi mm siwezi nipo busy sana lakini haipiti SAA moja sijaongea na jamaa aisee ntaumwa na yeye vivyo hivyoKweli hata mimi ni Ngumu. Asubuhi umeamkaje? Uko poa poa Haya kazi njema take care imetosha hadi usiku tena kazi zikiendaje poa, pole kwa uchovu usali na usiku mwema. Ndo daily routine mambo sijui umekunywa uji, uko wapi na nani? Hujanmic aaaagh hata mimi sipendi bana
Itakuwa unakaa kwenu! Mwanaume mpambanaji hawez fanya huo upuuziKwa kipindi hiki cha digitali kama huwezi kuwasiliana na mpenzi wako mara kwa mara lazima penzi liote mbawa tu.
Mimi nawasiliana na laazizi siku nzima, kila baada ya saa 1, sometimes tunaongea kwa simu masaa 7 straight.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us