Ni convo ambazo unaweza kuona nonsense ila ndio mapenzi yenyewe inabidi tuelewe mzizi wenu mapenzi sio Biashara ingekuwa business partner mungekuwa munahakikisha convo nzito zaumakini ila haya ni mapenzi.Pumba
Umekula ...Nimebanwa na mkojo alafu kazi zimekuwa nyingi
Wametuma hela ya project nipo Tpb hapa natoa
Ukwapi
Kimya
Uko na mwanamke mwingine
Nilikuwa nakusalimia
Nilikuwa...nilikuwa
Hii ni nzuriKweli hata mimi ni Ngumu. Asubuhi umeamkaje? Uko poa poa Haya kazi njema take care imetosha hadi usiku tena kazi zikiendaje poa, pole kwa uchovu usali na usiku mwema. Ndo daily routine mambo sijui umekunywa uji, uko wapi na nani? Hujanmic aaaagh hata mimi sipendi bana
Anataka kulaMaongezi ni randomly vya kuongea vinakuja baada ya salamu japo unaweza kuona sio maongezi ya msingi ila ndio mapenzi yenyewe hayo nikujuze tu hakunaga kitu chamsingi kwenye mapenzi.
Nikuulize swali unasema humpigii/texf mpenzi wako mpaka labda kuwe na kitu chamsingi hemu taja mfano wa hiko kitu cha msingi.
Sasa haya yanakuwa sio mapenzi.Anataka kula
Kumbe inakuwa ni nini?Sasa haya yanakuwa sio mapenzi.
Kikundi cha kupigana miti.Kumbe inakuwa ni nini?
Kupigana miti kwa jina lingine si ndio kunaitwa kufanya mapenzi? Mnaweza kufanya mapenzi kama hakuna mapenzi?Kikundi cha kupigana miti.
Mapenzi ni kitu mtambuka kipana ndani yake kuna vitu vingi ila miti(ngono) ni moja ya kitu kilichopo kwenye mapenzi kati ya vingi.Kupigana miti kwa jina lingine si ndio kunaitwa kufanya mapenzi? Mnaweza kufanya mapenzi kama hakuna mapenzi?
Alaa kumbeMapenzi ni kitu mtambuka kipana ndani yake kuna vitu vingi ila miti(ngono) ni moja ya kitu kilichopo kwenye mapenzi kati ya vingi.
Kama ulisema kuchekiana mpaka muda wa miti hayo si mapenzi ni ngono...mpenzi wako wa kweli nature yenyewe inakusukuma kuwasiliana nae unafeel huru, good hata msongo wa mawazo unakukalia mbali.
Nikiwa lindo usiku, bodaboda.Masaa saba ina maana hauna kazi za kufanya?
Kila mtu anakaa kwakeDuuh we noma...mnaongea nini masaa saba? Mnakaa mbalimbali?