Namba 26
JF-Expert Member
- Oct 15, 2018
- 309
- 917
Unakuta jamaa kahonga gari kali hata la zaidi ya milioni 50 nashindwaga kuelewa akili za huyu mtu. Cha ajabu mamake hana gari wala babake wanahangaika yeye anampa demu.
Yani kile kitu tu cha kati ndo unatoa pesa zote hizo? Hayo ni matope si akili, halafu siku zote wanaohonga honga hovyo mademu wana upungufu wa nguvu za kiume, wanahonga kuziba mapengo wasiachwe.
Italeta maana kama tu kitu unachohonga hakipo juu ya uwezo wako yani kidogo sana sawa na bure ila bila hivyo we ni boya na upungufu wa nguvu za kiume.
Yani kile kitu tu cha kati ndo unatoa pesa zote hizo? Hayo ni matope si akili, halafu siku zote wanaohonga honga hovyo mademu wana upungufu wa nguvu za kiume, wanahonga kuziba mapengo wasiachwe.
Italeta maana kama tu kitu unachohonga hakipo juu ya uwezo wako yani kidogo sana sawa na bure ila bila hivyo we ni boya na upungufu wa nguvu za kiume.