mwitamarwa
Senior Member
- Oct 16, 2016
- 130
- 109
Hivi nyie vijana wa kiume mnaodate na maji mama mna akili timamu kweli???
PesaBinti miaka 21+ uko na mzee 70+ unamuita mpenzi, unamruhusu kabisa achezee mwili wako?, ni mapenzi au unasaka hela, umaarufu, unakomoa au ndo maisha yamekua ivo?
Imenibidi niombe kujuzwa kotoka kwenu kupitia huku Jf kwa wakubwa, maana huku mtaani kwetu imekua kama fashion mabinti kutoka na baba zetu.
Vijana ndio muda wa kutafuta na wazee walitafuta zamani sasa ndio wanatumia hawawezi kufanana labda tatizo no kuandaa watoto yatima wengi baada ya baba zao kufa na mama wapo umri wa 30+ nje na hapo hakuna mwanaume apendaye wazee wote tunapenda vitu visivyotumika sanaUzee mwisho chalinze mjini kila mtu baby.
Acheni wazee wawasaidie maana vijana hamjitumi kabisa kutafuta hela.
Akifa watoto wanakuwa yatima na insurance za kutosha.Vijana ndio muda wa kutafuta na wazee walitafuta zamani sasa ndio wanatumia hawawezi kufanana labda tatizo no kuandaa watoto yatima wengi baada ya baba zao kufa na mama wapo umri wa 30+ nje na hapo hakuna mwanaume apendaye wazee wote tunapenda vitu visivyotumika sana
Kwan mwenyewe Mali cyo yatima!? Mama atabaki mjane katika umri mdogi!Akifa watoto wanakuwa yatima na insurance za kutosha.
Wanaanzaje kuumia na uyatima?
Haujui pesa ndiyo kila kitu?
The same thng may happen hata kwa vijana wenye umri mdogo.Kwan mwenyewe Mali cyo yatima!? Mama atabaki mjane katika umri mdogi!
Daaaah una experience sana bidadaPenzi la mzee huwa halina stress..... Afu ni full package yani, unahudumiwa, unabembelezwa, attention A, ni wanyenyekevu anajua hapo ndo pressure yake na sukari vinashushwa anakutreat good, wazee wanajua kujali sana hata kama hana muda wa kutoka anakupa kifurushi anakuambia toka out ukapunge upepo mama, na wana show za kibabe ukikuta anaependa nyaps, kama sio mpenzi sana basi kimoja chake cha mkwezi anapumzika na ANAKUJAZA......kila unachosema jibu ndio mama, sawa mama, nita jitahidi kufanya hivo mama na ahadi zao za ukweli (wazee wana mengi ngoja niishie hapa)
Ninyi vijana sasa ,stress ndo nyumbani kwao mtoto wa watu kila siku umlize yani umegeuka kitunguu, kujali hujali upo bize na marafiki tu utadhani ndo wanakupa utamu, hela huna Ikitokea umempa ki buku ten hadi paka wako anajua leo umetoa buku ten, bado hajakufuma na michepuko kibao, bado hujaomba hela za mwanamke wako, kitandani unasua sua aaaggrr.....
Wazee wangu wa nguvu popote mlipo nawapenda sana!!!!!
Penzi la mzee huwa halina stress..... Afu ni full package yani, unahudumiwa, unabembelezwa, attention A, ni wanyenyekevu anajua hapo ndo pressure yake na sukari vinashushwa anakutreat good, wazee wanajua kujali sana hata kama hana muda wa kutoka anakupa kifurushi anakuambia toka out ukapunge upepo mama, na wana show za kibabe ukikuta anaependa nyaps, kama sio mpenzi sana basi kimoja chake cha mkwezi anapumzika na ANAKUJAZA......kila unachosema jibu ndio mama, sawa mama, nita jitahidi kufanya hivo mama na ahadi zao za ukweli (wazee wana mengi ngoja niishie hapa)
Ninyi vijana sasa ,stress ndo nyumbani kwao mtoto wa watu kila siku umlize yani umegeuka kitunguu, kujali hujali upo bize na marafiki tu utadhani ndo wanakupa utamu, hela huna Ikitokea umempa ki buku ten hadi paka wako anajua leo umetoa buku ten, bado hajakufuma na michepuko kibao, bado hujaomba hela za mwanamke wako, kitandani unasua sua aaaggrr.....
Wazee wangu wa nguvu popote mlipo nawapenda sana!!!!!
The same thng may happen hata kwa vijana wenye umri mdogo.
Kumbuka kinacho guarantee kifo siyo umri peke yake..
Kuwa yatima na ujane na ugane kila mtu lazima apitie hivyo hamna kipya.
Ila raha ni kuachwa mjane na miradi ya kutosha ,.